Category: Makala
Teknolojia ya ‘Smart Card’ inayotumiwa NIDA yapongezwa
Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imefaulu kuendesha kazi ya Vitambulisho vya Taifa kwa umakini mkubwa.
Miaka 49 ya Muungano, kero 13 zisizotatulika
Aprili 26, ni siku ya maadhimisho ya miaka 49 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Sherehe za maadhimisho haya zitafanyika katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Saalam.
Sherehe hizo zinafanyika kukiwa na maswali kutoka kwa wananchi wa pande zote mbili, yanayohusu kero zinazoukabili Muungano huo.
Diplomasia na gharama ya kusubiri
Nilipowapokea vijana kadhaa wa Kitanzania hapa London, miaka karibu mitano iliyopita, mmoja wao alikuwa amesomea diplomasia.
NUKUU ZA WIKI
Nyerere: Kiongozi hang’ang’anii ofisini
“Tuna viongozi wachache sana kwa maana halisi ya neno ‘kiongozi’, yaani ‘mwonyesha njia’. Huwezi kuonyesha njia kwa kung’ang’ania ofisini.”
Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, aliyasema haya katika Mkutano Mkuu Maalumu wa CCM Taifa, Agosti 16, 1990, jijini Dar es Salaam.
NUKUU ZA WIKI
Nyerere: Napenda vyama viwili vya kijamaa “Mimi binafsi nitafurahi sana kuona Tanzania nayo ikiwa na vyama viwili vya kijamaa; na ikakataa kabisa kabisa kuweka vyombo vyake vya ulinzi na usalama mikononi mwa wapiganaji wa siasa hiyo.” Baba wa Taifa…
Je, Mkristo akichinja ni haramu?-2
Wiki iliyopita, tulichapisha sehemu ya kwanza ya makala haya yenye kufafanua tatizo linaloendelea hapa nchini juu ya haki ya kuchinja. Ifuatayo ni sehemu ya pili ya mfululizo wa makala hizi. Wapo walioahidi kuandika makala za kuhalalisha msimamo wa sasa wa kuchinja baada ya kusoma makala haya, tunatarajia yakitufikia tu, nayo tutayachapisha kwa nia ya kuongeza uelewa. Endelea…