Category: Makala
Sisi Waafrika weusi tukoje? (5)
Ili Waafrika weusi sisi tupate maendeleo katika nchi zetu, hatuna budi kujitafiti na kujitambua upungufu wetu wote. Upungufu wa kutamani kuwa kama Mzungu au Mwarabu haujaondoka katika fikra zetu ingawa wakoloni hawapo; lakini kwa mazoea yetu sisi Mzungu ni wa kuogopwa tu.
KAULI ZA WASOMAJI
Serikali isiwadhulumu wastaafu
Ukweli ni kwamba ni laana kubwa kwa Serikali kudhulumu malipo ya fedha za wazee wastaafu, walioitumikia nchi hii katika nyanja mbalimbali.
Msomaji
* **
NUKUU ZA WIKI
Nyerere: Umaskini wa fikra mbaya sana
“Hakuna umaskini mbaya kama umaskini wa mawazo (fikra), ni umaskini mbaya sana. Mtu mwenye akili akikwambia neno la kipumbavu ukalikubali, anakudharau.”
Maneno haya ni ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
***
Makali ya TBS yawatafunawenye viwanda feki
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limedhamiria kueneza uelewa, na kukuza matumizi ya viwango na kanuni za udhibiti wa ubora katika sekta za viwanda na biashara.
Uchumi ukikua, usiishie mifukoni mwa wabunge
Nimeishawahi kusema kwamba Watanzania tuna kumbukumbu dhaifu, kwa maana kwamba hatukumbuki jana na wala hatutaki kujua nini kitakachotokea kesho.
Lissu: Tume ya Katiba ni ulaji
*Asema wanatumbua fedha, watengewa fungu la Ukimwi
Msemaji wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni wa Wizara ya Katiba na Sheria, Tundu Lissu, wiki iliyopita aliwasilisha bungeni maoni ya Kambi hiyo, na kueleza namna Tume ya Mabadiliko ya Katiba inavyofuja fedha.