Category: Makala
Wachina hufanya chochote wanachotaka
Juni 1964 Tanzania ilitembelewa kwa mara ya kwanza na kiongozi wa ngazi ya juu kutoka China. Alikuwa Wazari Mkuu Chou en-Lai.
Ndoto ya pensheni kwa wazee wote kutimia (1)
Siku za karibuni tumesikia misamiati mbalimbali juu ya kuwasaidia wazee wote wa Tanzania. Upo msamiati wa wazee kupatiwa PENSHENI huko tuelekeako. Wengine wanasema wazee watapata Cash Grant. Msamiati mwingine unasema wazee wanaandaliwa mpango unaojulikana kama Universal Pension Scheme. Kitaifa ipo mifumo kadhaa ya kuwasaidia watu inayoitwa Mifuko ya HifadhiI ya Jamii kama vile NSSF, PPF, NHIF na LAPF.
TUFUMUE FIKRA ZA KIMASIKINI KWA WATANZANIA!
Wiki iliyopita Waziri mwenye dhamana katika wizara ya kazi, ajira na maendeleo ya vijana aliwasilisha bajeti ya wizara yake.
NUKUU ZA WIKI
Nyerere: Tunamtaka rais anayechukia rushwa
“Rushwa ni adui wa haki. Tunamtaka rais atakayelitambua hilo, atakayeichukia rushwa hata ukimwangalia aoneshe kweli anaichukia rushwa, sio rais anayesema kweli rushwa ni adui wa haki… lakini ukimwangalia usoni unashangaa na kusema… aaaah kweli huyu?”
Maneno haya ni ya Baba wa Taifa la Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Waandishi vijana wanaua uhuru wa habari
Tunapozungumzia uhuru wa habari tunakuwa na maana mbili. Kwanza, uhuru wa vyombo vya habari kutoa habari zilivyo bila kutishwa au kusumbuliwa. Pili, uhuru wa wananchi kupewa habari zilivyo bila vikwazo au kufichwa.
NUKUU ZA WIKI
Nyerere: Kujitolea muhimu kwenye chama
“Lakini chama chochote, hata chama cha michezo tu, lazima kiendeshwe na mashabiki kwa njia za kujitolea. Moyo wa kujitolea ukifa, chama hakiwi chama tena; kinakuwa ni chaka tu la mawindo ya kujitafutia mali.”
Maneno haya ni maneno ya Baba wa Taifa letu Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
- Rais Dkt. Samia ashiriki Mkutano Maalum wa AU kuhusu Afya, Accra nchini Ghana
- Polisi watakiwa kushirikiana na vikundi vya ulinzi
- Serikali yaongeza kasi kuimarisha usalama barabarani
- Balozi wa Tanzania UNESCO akutana na Waziri wa Japan kuimarisha ushirikiano wa urithi wa dunia
- Waziri Ndejembi :Vitongoji vyote Mtwara kufikishiwa umeme
Habari mpya
- Rais Dkt. Samia ashiriki Mkutano Maalum wa AU kuhusu Afya, Accra nchini Ghana
- Polisi watakiwa kushirikiana na vikundi vya ulinzi
- Serikali yaongeza kasi kuimarisha usalama barabarani
- Balozi wa Tanzania UNESCO akutana na Waziri wa Japan kuimarisha ushirikiano wa urithi wa dunia
- Waziri Ndejembi :Vitongoji vyote Mtwara kufikishiwa umeme
- Vita vya Iran vimeigharimu Marekani dola bilioni 37.5 – Waziri wa ulinzi
- Rais wa Ukraine amtimua Mkuu wa Jeshi, Oleksandr Syrskyi
- Taasisi za umma zatakiwa kuachana na utendaji wa mazoea ili kufanikisha Dira 2050
- Tanzania yaongoza juhudi za Afrika kutokomeza UKIMWI na kuimarisha mifumo ya afya
- Rais Dk Samia awasili jijini Accra Ghana kushiriki mkutano AU
- Tanzania na OACPS wakubaliana kuinua sekta ya uvuvi na uchumi wa buluu
- Waziri Ndejembi amjulia hali kapteni Mstaafu George Mkuchika
- Kishindo cha Waziri Nanauka Katavi, asema Serikali kuimarisha uwekezaji katika elimu, afya
- Newala kunufaika na umeme wa uhakika
- Serikali yatangaza neema kwa wakulima kupitia visima vya umwagiliaji