Category: Makala
NUKUU ZA WIKI
Mwalimu Nyerere: Wanadamu huongozwa na sheria
“Nchi zote duniani huongozwa na wanadamu na si malaika. Wanadamu hawa huongozwa na sheria na si kwa akili zao wenyewe.”
Haya ni maneno ya Baba wa Taifa la Tanzania, Mwalimu Julius K. nyerere.
Misitu ya Asili na Maendeleo ya Jamii Tanzania (1)
Kwanza napenda kuchukua fursa hii kumshukuru sana Mwenyezi Mungu, muumba wa mbingu na dunia na vyote vilivyomo tukiwamo sisi wanadamu, kwa mema mengi mno anayonitendea na hasa kwa kutujalia uhai hadi leo hii.
Wachina hufanya chochote wanachotaka
Juni 1964 Tanzania ilitembelewa kwa mara ya kwanza na kiongozi wa ngazi ya juu kutoka China. Alikuwa Wazari Mkuu Chou en-Lai.
Ndoto ya pensheni kwa wazee wote kutimia (1)
Siku za karibuni tumesikia misamiati mbalimbali juu ya kuwasaidia wazee wote wa Tanzania. Upo msamiati wa wazee kupatiwa PENSHENI huko tuelekeako. Wengine wanasema wazee watapata Cash Grant. Msamiati mwingine unasema wazee wanaandaliwa mpango unaojulikana kama Universal Pension Scheme. Kitaifa ipo mifumo kadhaa ya kuwasaidia watu inayoitwa Mifuko ya HifadhiI ya Jamii kama vile NSSF, PPF, NHIF na LAPF.
TUFUMUE FIKRA ZA KIMASIKINI KWA WATANZANIA!
Wiki iliyopita Waziri mwenye dhamana katika wizara ya kazi, ajira na maendeleo ya vijana aliwasilisha bajeti ya wizara yake.
NUKUU ZA WIKI
Nyerere: Tunamtaka rais anayechukia rushwa
“Rushwa ni adui wa haki. Tunamtaka rais atakayelitambua hilo, atakayeichukia rushwa hata ukimwangalia aoneshe kweli anaichukia rushwa, sio rais anayesema kweli rushwa ni adui wa haki… lakini ukimwangalia usoni unashangaa na kusema… aaaah kweli huyu?”
Maneno haya ni ya Baba wa Taifa la Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
- NEMC Yataka Ubunifu wa Mazingira kugeuzwa kuwa fursa
- BoT yapata tuzo tano kwa kukuza huduma jumuishi za fedha
- NIDA Kuanza kuwasajili watoto chini ya miaka 18- Dkt. Mwigulu
- TADB, EADB wazindua dirisha la Sh bilioni 50 kwa wakulima
- Msajili wa Hazina na Barrick wajadili namna bora ya uendelezaji wa migodi
Habari mpya
- NEMC Yataka Ubunifu wa Mazingira kugeuzwa kuwa fursa
- BoT yapata tuzo tano kwa kukuza huduma jumuishi za fedha
- NIDA Kuanza kuwasajili watoto chini ya miaka 18- Dkt. Mwigulu
- TADB, EADB wazindua dirisha la Sh bilioni 50 kwa wakulima
- Msajili wa Hazina na Barrick wajadili namna bora ya uendelezaji wa migodi
- Rais Dk Mwinyi apokea mwaliko wa dua maalum ya kuliombea taifa juu
- Wizara ya Madimi yaja na sheria kusimamia taaluma ya wajiolojia
- Pwani kutenga maeneo ya hifadhi kwa waathirika wa mafuriko – Nyongo
- THBUB kuja na mwongozo wa kutathmin misingi ya utawala bora nchini
- Makamu wa Rais Ndejembi aendeleza diplomasia ya Tanzania – Vienna
- Sijaridhishwa na kasi ya wakandarasi KIKIM na AMACO utekelezaji miradi ya barabara Lindi- Prof. Shemdoe
- Wizara ya Fedha kuendelea kuboresha miongozo inayolenga kuimarisha ukaguzi
- Mradi wa umeme Simiyu kufungua fursa za uwekezaji na kuchochea shughuli za kiuchumi wananchi
- Somalia yaona ufanisi mkubwa wa FCC katika kulinda soko
- Neema ya Uwekezaji wa Kiwanda cha Kuchakata Madini ya Mchanga wa Baharini