Category: Makala
Bilionea akubaliwa kujenga uwanja Serengeti
Mamlaka zote za Serikali zimeridhia ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mugumu, Serengeti mkoani Mara.
Twende tuwekeze Sudan Kusini – Jenerali Kisamba
*Saruji, ngano, vifaa vya ujenzi, alizeti vinahitajika
*Asema majirani zetu wameshaanza kunufaika mno
Ushauri umetolewa kwa Tanzania na Watanzania kuamka na kuchangamkia fursa za uwekezaji na biashara zilizojitokeza katika taifa jipya la Sudani Kusini.
Katiba Mpya, Tanzania Mpya 11
Kama nilivyoahidi wiki iliyopita, kwamba baada ya kuwa tumemaliza kulizungumzia suala la Muungano kwa urefu na upana, ningeanza kuzungumzia suala la ardhi katika Taifa letu na jinsi Katiba ya sasa inavyolieleza suala hilo na umiliki wake kwa Watanzania.
Je, machozi ya walimu yatamimina fedha mitaani?
Tulizoea kusikia walimu wakilalamika, lakini safari hii wameamua kulia, na machozi yao yameonekana kupitia nia waliyoionyesha. Walimu sasa wametangaza mgogoro uliobeba mimba dhidi ya Serikali; ambako usipotatuliwa unatarajiwa kuzaa mgomo usio na kikomo.
Washington: Utumwa unanik
“Ninaloweza kusema ni kwamba hakuna mtu aliye hai mwenye kutamani kwa dhati kuona utumwa unakomeshwa zaidi yangu.”
Haya ni maneno aliyoyasema Rais wa Kwanza wa Marekani, George Washington, wakati wa harakati wa kulipatia taifa hilo uhuru kutoka kwa Waingereza. Marekani ilipata uhuru wake mwaka 1776.
****
Quotes
Washington: Utumwa unanikera
“Ninaloweza kusema ni kwamba hakuna mtu aliye hai mwenye kutamani kwa dhati kuona utumwa unakomeshwa zaidi yangu.”
Haya ni maneno aliyoyasema Rais wa Kwanza wa Marekani, George Washington, wakati wa harakati wa kulipatia taifa hilo uhuru kutoka kwa Waingereza. Marekani ilipata uhuru wake mwaka 1776.
****
Habari mpya
- Mgeja awapa angalizo Watanzania, Dk Samia anatosha
- Kihongosi : Ilani ya CCM imebeba matumaini ya Watanzania
- Viongozi wa dini waendelea kihimiza amani uchaguzi mkuu
- Rais Samia awasili Mwanza kufunga kampeni
- NCCR Mageuzi wahamasisha amani, mshikamano kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba 29
- Watoto yatima Tabora wamwombea dua Dk Samia
- Watumishi wa Umma waaswa kushiriki uchaguzi wa Oktoba 29
- Kunenge -Hakuna atakayetishwa, jitokezeni kupiga kura
- Ado Shaibu afanya mazungumzo na mama lishe
- TMA yatoa tahadhari ya mvua kubwa katika mikoa minne
- Kishindo cha Badru chaanza NCAA
- Bila uamuzi mgumu Ngorongoro itakufa
- Kibunda cha bilioni 426.5 kuwanufaisha wanafunzi 135,240 awamu ya kwanza
- Kikwete : CCM si chama cha maneno maneno bali ni chama cha vitendo
- Bei elekezi ya madini ya vito kuchochea ukuaji uchumi – CPA Kasiki