Category: Makala
Tamko ya Bodi ya Wadhamini MNH
Bodi ya Wadhamini ya Hospitali ya Taifa Muhimbili ilikutana tarehe 28 Juni 2012 kujadili na kutathmini hali ya utendaji na utoaji wa huduma hivi sasa katika hospitali.
Vituko vya Jeshi la Polisi
*Lakodi kina mama ili wawapekue watuhumiwa Kituo cha Polisi Mbuguni, Arumeru Mashariki mkoani Arusha, kinalazimika kukodi wanawake wanaoishi jirani na kituo hicho ili kuwafanyia upekuzi watuhumiwa wanawake kabla ya kuwaweka mahabusu. Kukodiwa kwa kina mama majirani kunatokana na…
Bilionea akubaliwa kujenga uwanja Serengeti
Mamlaka zote za Serikali zimeridhia ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mugumu, Serengeti mkoani Mara.
Twende tuwekeze Sudan Kusini – Jenerali Kisamba
*Saruji, ngano, vifaa vya ujenzi, alizeti vinahitajika
*Asema majirani zetu wameshaanza kunufaika mno
Ushauri umetolewa kwa Tanzania na Watanzania kuamka na kuchangamkia fursa za uwekezaji na biashara zilizojitokeza katika taifa jipya la Sudani Kusini.
Katiba Mpya, Tanzania Mpya 11
Kama nilivyoahidi wiki iliyopita, kwamba baada ya kuwa tumemaliza kulizungumzia suala la Muungano kwa urefu na upana, ningeanza kuzungumzia suala la ardhi katika Taifa letu na jinsi Katiba ya sasa inavyolieleza suala hilo na umiliki wake kwa Watanzania.
Je, machozi ya walimu yatamimina fedha mitaani?
Tulizoea kusikia walimu wakilalamika, lakini safari hii wameamua kulia, na machozi yao yameonekana kupitia nia waliyoionyesha. Walimu sasa wametangaza mgogoro uliobeba mimba dhidi ya Serikali; ambako usipotatuliwa unatarajiwa kuzaa mgomo usio na kikomo.
- Rais awateua sita kuwa wabunge, yumo Bashiru, Gwajima
- Waratibu wa kitaifa wa nchi za Jujuiya ya Ukanda wa maziwa makuu wakutana jijini Kinshasa
- Tanzania yaihakikishia dunia hali ya utalii iko salama
- Wakilia : Tundu Lissu hajafikishwa mahakamani kwa sababu za kiusalama
- Kawaida :Oktoba 29, 2025 imeacha majonzi na funzo kubwa kwa Taifa
Habari mpya
- Rais awateua sita kuwa wabunge, yumo Bashiru, Gwajima
- Waratibu wa kitaifa wa nchi za Jujuiya ya Ukanda wa maziwa makuu wakutana jijini Kinshasa
- Tanzania yaihakikishia dunia hali ya utalii iko salama
- Wakilia : Tundu Lissu hajafikishwa mahakamani kwa sababu za kiusalama
- Kawaida :Oktoba 29, 2025 imeacha majonzi na funzo kubwa kwa Taifa
- Zungu aibuka kidedea kinyang’anyiro cha uspika, Silo ashinda nafasi ya Naibu Spika
- Wakandarasi kufanya kazi saa 24 Mara
- Baba Levo kufanya mkutano wa shukran Kigoma Mjini
- Mabaki ya mwili wa Mtanzania Joshua Mollel yatambuliwa Israel, kurejeshwa nchini
- Mawakala 120 wa utalii kutoka Marekani wavutiwa na vivutio vya utalii Tanzania
- SADC wampongeza Rais Samia, Nchimbi asisitiza Tanzania kuendeleza amani
- Ujifadhi ndio moyo katika sekta ya utalii – Kamishna Badru
- Dk Tulia kujitoa kinyang’anyiro cha uspika kwazua mjadala
- Dk Tulia ajiondoa kugombea uspika
- ELAF yahimiza maridhiano na amani baada ya uchaguzi mkuu