Category: Makala
Mwenye nyumba yumo hatiani mpangaji anapojihusisha na biashara, dawa haramu
Na Bashir Yakub Wenye nyumba mnatakiwa kujihadhari sana. Hakikisha unapompangisha mtu unajua historia yake. Wakati mwingine ni vigumu lakini ndiyo iko hivyo. Unalazimika kufanya hivyo kutokana na madhara ambayo unaweza kupata kutokana na makosa ya mpangaji. Kifungu cha 20, Sheria ya…
Yah: Analalamika wananchi tumwone, tumchague tena akalalamike
Asanteni sana nyote mnaoniunga mkono kwa kupokea barua yangu ya kila wiki kupitia ukurasa huu. Nia na madhumuni ya barua hii ni kukumbushana na kutoa au kuwasilisha maoni yangu kwa jamii kuhusu maisha yetu ya kila siku, sanjari na utamaduni…
Umoja ni ufanisi
Umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu. Hii ni methali kongwe katika lugha yetu ya Kiswahili, ikiwa ibebeba ujumbe muhimu katika kuongoza watu kupata ufanisi mkubwa pindi wanapoamua kufanya jambo katika hali ya kushirikiana. Watu walio makini mara nyingi wanapenda kufanya…
Epuka malumbano ya Ukristo na Uislamu Mtandaoni
Teknolojia ya Habari na Mawasiliano yakiwamo matumizi na mitandao ya kijamiiyamewezesha wepesi na ukaribu wa mawasiliano ya watu duniani kiasi chakuthibitisha ukweli wa ‘Dunia Kiganjani’ au ‘Dunia kama kijiji kimoja.’ Pamoja na manufaa haya bado ukweli ulio dhahiri ni kuwa…
Wanaomzushia majanga JK mizimu itawaumbua
BAGAMOYO Na Umar Mukhtar Wapo baadhi ya watu wasiotaka kukiri kuwa miongoni mwa wanasiasa waliowahi kutokea Afrika ambao ni wajuzi wa mapiku ya kisiasa na masuala ya utawala kuwahi kutokea; watu wenye maarifa mapana na mizungu ya kisiasa wanaozijua vema…
Pumzika Jenerali Tumainiel Kiwelu
Na Joe Beda Rupia Luteni Jenerali Tumainiel Kiwelu ni mmoja wa viongozi watakaokumbukwa daima katika Mkoa wa Rukwa, hasa mjini Sumbawanga. Ndiyo, Jenerali Kiwelu. Hakika ameacha alama zisizofutika. Ninashindwa nianzie wapi katika kumuelezea mwamba huyo wa Vita ya Kagera. Anyway,…