
Baadhi ya waalikwa wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alipozungumza baada ya kukagua ujenzi wa Mradi wa kituo cha Biashara cha Afrika ya Mashariki kinachojengwa na kampuni ya East Africa Commercial and Logistics Centre eneo la Ubungo jijini Dar es salaam Aprili 20, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)




