Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Pemba, Zanzibar ambapo anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Ufunguzi wa Skuli ya SekondariMaziwang’ombe iliyopo Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba leo tarehe 21 Aprili 2024 ikiwa ni Shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Muungano. Post Views: 76 Post navigation Nchimbi awataka wana-CCM kuacha nongwa za uchaguzi Songea Dk Gwajima afungua mkutano wa 21 wa MEWATA, asisitiza umuhimu kuongez kasi kujenga msingi ya afya ya watoto