Mbunge wa Viti Maalum Tamima Haji Abass, akila kiapo Bungeni jijini Dodoma, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu, George Simbachawene, Bungeni jijini Dodoma Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba, Bungeni jijini Dodoma Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Ridhiwani Kikwete, Bungeni jijini Dodoma, Septemba 13.2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Post Views: 60 Post navigation Karani wa sensa akutana na ‘mauzauza’ aona miti badala ya nyumba Makinda: Sensa ya 2032 inategemea kujikosoa kwa sensa ya 2022