Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
October 10, 2023
Kimataifa
Mkutano wa 30 wa vyombo vya utangazaji vya Umma Kusini mwa Afrika (SABA)
Jamhuri
Comments Off
on Mkutano wa 30 wa vyombo vya utangazaji vya Umma Kusini mwa Afrika (SABA)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi alipowasili katika Hoteli ya Golden Tulip Kiembesamaki Mkoa wa Mjini Magharibi leo kuufungua Mkutano Mkuu wa 30 wa Vyombo vya Utangazaji vya Umma Kusini mwa Afrika (SABA).[Picha na Ikulu] 10/10/2023.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi na Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto -SMZ Mhe.Riziki Pembe Juma kwa Niaba ya Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Mhe.Tabia Maulid Mwita(katikati) wakifuatana na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mhe.Idrissa Kitwana Mustafa(kushoto)na Rais wa SABA Bw.Stanley Benjamin Similo kuelekea Ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Kiembesamaki Mkoa wa Mjini Magharibi,alipowasili kuufungua Mkutano Mkuu wa 30 wa Vyombo vya Utangazaji vya Umma Kusini mwa Afrika (SABA).[Picha na Ikulu] 10/10/2023.
ais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) akipokea tunzo maalum kutoka kwa Rais wa SABA Bw.Stanley Benjamin Similo katika mkutano Mkuu wa 30 wa Vyombo vya Utangazaji vya Umma Kusini mwa Afrika (SABA) mara baada ya kuufungua leo katika ukumbi waHoteli ya Golden Tulip Kiembesamaki Mkoa wa Mjini Magharibi.[Picha na Ikulu] 10/10/2023.
Baadhi ya Washiriki wa mkutano mkuu wa 30 wa vyombo vya Utangazaji vya Umma Kusini mwa Afrika (SABA) wakifuatilia kwa makini mada mbali mbali zilizotolewa katika mkutano huo wa siku tatu uliofunguliwa leo na Rais wa Zanzibar na Mwenyekikti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Kiembesamaki Mkoa wa Mjini Magharibi.[Picha na Ikulu] 10/10/2023.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto)akiufungua mkutano mkuu wa 30 wa vyombo vya Utangazaji vya Umma Kusini mwa Afrika (SABA) utakaofanyika kwa siku tatu katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Kiembesamaki Mkoa wa Mjini Magharibi.[Picha na Ikulu] 10/10/2023.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia)alipokuwa akimkabidhi cheti Meneja Masoko wa Benki ya PBZ Ndg.Seif Suleiman Mohamed katika mkutano mkuu wa 30 wa vyombo vya Utangazaji vya Umma Kusini mwa Afrika (SABA) unaofanyika kwa siku tatu katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Kiembesamaki Mkoa wa Mjini Magharibi.[Picha na Ikulu] 10/10/2023.
Post Views:
303
Previous Post
Muhimbili yapokea msaada wa viti mwendo 21 vya mil. 5.7/-
Next Post
Taasisi ya Mwalimu Nyerere kuzindua mradi wa kitaifa wa Maadili na Uzalendo
Mbetto :Jussa acha matamshi ya kibaguzi Zanzibar
Dereva aliyesababisha ajali iliyoua watu nane akamatwa
WHI yatunukiwa tuzo ya nyumba za gharama nafuu zaidi Afrika
NEEC yadhamiria kuwainua kiuchumi wananchi kwa kutoa elimu ya kutambua fursa
Setilaiti iliyotengenezwa na Boeing yavunjika angani
Habari mpya
Mbetto :Jussa acha matamshi ya kibaguzi Zanzibar
Dereva aliyesababisha ajali iliyoua watu nane akamatwa
WHI yatunukiwa tuzo ya nyumba za gharama nafuu zaidi Afrika
NEEC yadhamiria kuwainua kiuchumi wananchi kwa kutoa elimu ya kutambua fursa
Setilaiti iliyotengenezwa na Boeing yavunjika angani
Geita yaupokea mradi wa bilioni 17 kusambaza umeme kwenye vitongoji 105
Kongamano la ARGe0-C10 kuongeza kasi uendelezaji jotoardhi Afrika Dk Mataragio
Urusi yafanya mashambulizi usiku kucha mjini Kyiv Ukraine
Profesa Mkumbo avutiwa na utendaji wa bandari ya Dar
FCS, LATRA CCC wasaini makubaliano kuimarisha ulinzi na haki ya walaji sekta ya usafiri ardhini
Mfumo wa PAIS kudhibiti migogoro baina wanyamapori na binadamu Babati
Waziri Bashungwa aongoza utiaji saini ujenzi wa daraja la Jangwani
GST kukamilisha upatikanaji wa ithibati vyungu kuyeyushia sampuli za dhahabu
Kamati ya Bunge yaridhishwa utendajikazi Wizara ya Nishati
Shule za Mbeya kufanyiwa ukarabati mkubwa, zitoe mazingira bora ya kujifunzia