Latest Posts
Tanzania yapongezwa kuanzisha mpango jumuishi wa wahudumu wa afya ngazi ya jamii
Na WAF – Geneva, Uswisi Wadau wa maendeleo wa Sekta ya Afya wameipongeza Tanzania kwa kuanzisha mpango jumuishi na shirikishi wa wahudumu wa Afya ngazi ya Jamii utakaowafikishia wananchi huduma za Kinga, Tiba na Elimu ya Afya mahali walipo bila…
Bashungwa aweka wazi miradi itakayoondoa msongamano wa magari katika majiji
Serikali itaendelea na utekelezaji wa miradi inayolenga kuondoa kero ya msongamano wa magari katika majiji. Haya yamebainishwa na Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa wakati wa kuwasilisha makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2023/25 Bungeni Dodoma. Amesema miradi hiyo ni…
TANROADS kuanza ujenzi daraja la Jangwani
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema Wizara kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) inatarajia kuanza kutekeleza mradi wa kimkakati wa Ujenzi wa Daraja la Jangwani. Bashungwa ameyasema hayo Bungeni jijini Dodoma wakati wa kuwasilisha Makadirio…
Wizara ya Ujenzi yaanika vipaumbele nane
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amebainisha vipaumbele nane vya Wizara ya Ujenzi itakavyotekeleza katika bajeti mwaka 2024/25. Akiwasilisha bungeni makadirio ya mapato na matumizi ya wizara na taasisi zake kwa mwaka 2024/25, Bashungwa amesema bajeti itazingatia kufanya matengenezo ya miundombinu…
Wapangaji lipeni kodi kuepusha usumbufu kwa TBA – Waziri Bashungwa
Na Mwandishi Wetu Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ametoa wito kwa wapangaji wote kuhakikisha kuwa wanalipa kodi za pango kwa wakati ili kuepusha usumbufu kwao na kwa Wakala wa MajengoTanzania (TBA). Waziri Bashungwa aliyasema hayo juzi Bungeni Jijini Dodoma wakati…
Serikali kushirikiana na sekta binafsi katika utekelezaji wa miradi
Wizara ya Ujenzi imeanza utaratibu wa kushirikisha sekta binafsi kwa utaratibu wa ubia (PPP)katika kutekeleza miradi ya miundombinu. Haya yamebainishwa na Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa wakati wa kuwasilisha makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2024/25, Bungeni jijini Dodoma…




