Latest Posts
HOTUBA YA WAZIRI WA UJENZI
UTANGULIZI Mheshimiwa Spika, baada ya Bunge lako Tukufu kupokea taarifa iliyowasilishwa leo hapa Bungeni na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu, naomba kutoa hoja kwamba Bunge lako tukufu likubali kupokea, kujadili na kupitisha Mpango wa Maendeleo na Makadirio…
Lundenga: Miss Tanzania imeitangaza nchi
Kwa muda wa miaka 18 iliyopita, mashindano ya Mrembo wa Tanzania yamekuza utamaduni, utalii na uwekezaji wa kigeni. Si hilo tu, mashindano haya yamewapa fursa mpya ya kujitambua wasichana Watanzania, anasema mwandaaji wa mashindano hayo, Hashim Lundenga.
Chadema sasa wadai rasmi Serikali ya Tanganyika
Hii ni sehemu ya maoni ya Msemaji Mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Tundu Lissu kuhusu Mpango wa Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha ya Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) kwa mwaka wa fedha wa 2012/2013. Endelea
Katika maoni yetu kuhusu Muswada wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni ilionyesha jinsi ambavyo “tafsiri hii mpya ya Makubaliano ya Muungano na Katiba ya Jamhuri ya Muungano imetiliwa nguvu kubwa na Muswada wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ambayo imeipa Zanzibar nafasi na ushawishi mkubwa katika utungaji wa Katiba Mpya.”
Vituko vya Jeshi la Polisi
*Lakodi kina mama ili wawapekue watuhumiwa Kituo cha Polisi Mbuguni, Arumeru Mashariki mkoani Arusha, kinalazimika kukodi wanawake wanaoishi jirani na kituo hicho ili kuwafanyia upekuzi watuhumiwa wanawake kabla ya kuwaweka mahabusu. Kukodiwa kwa kina mama majirani kunatokana na…
Bilionea akubaliwa kujenga uwanja Serengeti
Mamlaka zote za Serikali zimeridhia ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mugumu, Serengeti mkoani Mara.
Waislamu, Walokole pigeni moyo konde
Kwa karibu miaka miwili sasa nimejiepusha kuandika mada zinazohusiana na masuala ya dini, hasa Uislamu. Niliacha kuandika si kwa sababu nyingine bali kujipa muda niweze kupima upepo, kuangalia mustakabali wa taifa hili na hatimaye kuwa na mawazo muwali yatakayoniwezesha kutoa…
- Dk Dugange : Ushirikiano SJMT, SMZ ni nguzo hifadhi ya mazingira
- THBUB yafika kijiji cha Dunga kuwapa elimu ya haki za binadamu
- Mtambo wa oksijeni waokoa maisha ya wananchi Lushoto
- Dk Mwigulu : Nikiondoka baadhi ya mawaziri wanabaki Tanga
- TRC yaanza rasmi usafirishaji mizigo kwa kutumia container carriers SGR
Habari mpya
- Dk Dugange : Ushirikiano SJMT, SMZ ni nguzo hifadhi ya mazingira
- THBUB yafika kijiji cha Dunga kuwapa elimu ya haki za binadamu
- Mtambo wa oksijeni waokoa maisha ya wananchi Lushoto
- Dk Mwigulu : Nikiondoka baadhi ya mawaziri wanabaki Tanga
- TRC yaanza rasmi usafirishaji mizigo kwa kutumia container carriers SGR
- Tume ya Uchunguzi yakutana na Waziri wa Mambo ya Nje
- Polisi watinga Ofisi za CUF Buguruni, Sakaya apinga uamuzi wa msajili
- Wajasiriamali Jimbo la Mtumba kukopeshwa bilioni 2 za mtaji
- Dk Mwigulu : Serikali itaendelea kuiboresha Bandari ya Tanga ili kukidhi ushindani
- Serikali yazindua awamu ya kwanza ya mradi wa kupeleka nishati safi ya kupikia
- Mwinyi : Serikali imejipanga kumaliza tatizo la usafiri na usafirishaji Pemba
- Dk Kusiluka afungua mkutano wa Sita wa Serikali Mtandao, atoa maagizo
- Dk Mwigulu : Fedha za miradi zitumike kama ilivyokusudiwa
- Kihongosi akagua utekelezaji miradi ya bil. 2.5 Nzega
- Tume ya uchunguzi yakutana na Katibu Mkuu Mnyepe, Gugu