JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Majaliwa ataka wavamizi wa rdhi kuchukuliwa hatua kama jinai nyingine

Na Munir Shemweta, WANMM Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kasim Majaliwa Majaliwa amezitaka taasisi zinazoshughulika na masuala ya ya jinai kuhakikisha zinachukua hatua dhidi ya wavamizi wa ardhi kama jinai nyingine. Mhe. Majaliwa ametoa kauli hiyo…

TAPSEA jiendelezeni kitaaluma kuendana na mabadiliko ya teknolojia – Dk Biteko

Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto wa makatibu mahsusi nchini  kujiendeleza kitaaluma ili kuendana na mabadiliko ya teknolojia sambamba na kuboresha utendajikazi wao. Ameyasema hayo leo…

Wagombea 14 wateuliwa kuwania kiti cha ubunge Jimbo la Kwahani

Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia,Unguja JUMLA ya wagombea 14 kutoka vyama vya siasa vyenye usajili kamili wameteuliwa kuwania kiti cha Ubunge katika Jimbo la Kwahani, Wilaya ya Mjini, Mkoa wa Mjini Magharibi, Zanzibar. Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Kwahani, Bi. Safia…

President Samia raises hope for clean cooking in Africa

By Deodatus Balile, recently in Paris, France TANZANIAN President Samia Suluhu Hassan has raised hope of Africa’s ambition to emancipate the continent from open fire cooking to clean cooking by 2030, JAMHURI has learned. President Samia has a sharp vision…

Kasi ya ujenzi wa kituo cha kupokea, kupoza na kusambaza umeme cha Uhuru (Urambo) yafikia asilimia 92

📌Mkurugenzi Mtendaji TANESCO akagua maendeleo ya ujenzi wa kituo hicho na kuridhishwa na kasi ya ujenzi wake 📌Ni katika kutekeleza maagizo yaliyotolewa na Mhe.Dkt Doto Biteko NWM&WN katika kuusimamia mradi kwa karibu 📌Asifu kasi ya Mkandarasi TBEA Katika ujenzi wa…

Vijana wa BBT – LIFE waoneshwa vitalu, Rais Samia atajwa kwa mchango wake mkubwa sekta ya mifugo

Na Edward Kondela, JamhuriMedia, Karagwe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ameweka historia ya kutafsiri ndoto halisi ya wingi wa mifugo nchini katika kubadilisha mfumo wa maisha kwa watanzania kupitia sekta hiyo. Akizungumza (21.05.2024) wakati…