JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Serikali iungwe mkono udhibiti magonjwa yasiyo ya kuambukiza

Na Daniel Limbe, JamhuriMedia, Kibaha MEI 9 mwaka 2024 Tanzania imezindua kampeni ya awamu ya pili ya “Mtu ni Afya” baada ya ile ya kwanza kutamatika kwa mafanikio makubwa kutokana na baadhi ya magonjwa yaliyokuwa yakiwasumbua wananchi takribani miaka 50…

TMA yatoa taarifa ya uwepo wa kimbunga Ialy Bahari ya Hindi

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inatoa taarifa ya uwepo wa kimbunga “IALY” katika Bahari ya Hindi kaskazini mwa kisiwa cha Madagascar. Mifumo ya hali ya hewa inaonesha kuwa kimbunga hicho kitaendelea kusalia katika Bahari ya Hindi katika eneo…

Polisi Arusha wapewa pikipiki 20 kuimarisha usalama

Na. Mwandishi wetu Jeshi la Polisi Arusha. Jeshi la Polisi mkoa wa Arusha leo Mei 16, 2024 limepokea msaada wa pikipiki 20 toka benki ya CRDB kwa ajili ya kuimarisha usalama wa raia na mali zao katika Mkoa huo. Akikabidhi…

Afisa Tarafa Bwanku akagua miradi ya Rais Samia ya mil.89/- sekondari ya Karamagi

Mei 15, 2024, Afisa Tarafa wa Tarafa ya Katerero iliyoko Bukoba Mkoani Kagera Bwanku M Bwanku amefika Kata ya Mikoni kukagua baadhi ya miradi ya maendeleo inayotekelezwa pamoja na kusikiliza na kutatua kero ya Mwanamama Shakila Elius na aliyekuwa mumewe…

Canada kuchangia mfuko wa afya wa pamoja ili Tanzania kufikia afya kwa wote

Na WAF – Dar es Salaam Serikalo ya Canada imeihakikishia Tanzania kuwa itaendelea kushirikiana pamoja katika kuboresha Sekta ya Afya ili kufikia malengo ya afya kwa wote huku huduma bora za afya zikiendelea kutolewa na kupatikana kwa uhakika. Hayo yameelezwa…