JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mabaharia Tanzania kutambulika zaidi kimataifa

Na Mwandishi Maalumu, JamhuriMedia SERIKALI kupitia Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC), imeendelea na juhudi za kuwafungulia fursa mabaharia wa Tanzania kimataifa. Juzi, kwa niaba ya Serikali TASAC ilisaini Hati ya Makubaliano (MOU) na nchi ya Barbados ili nchi…

Dkt Biteko ashuhudia fainali ya Mwalimu Doto Cup Bukombe

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati,  ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Bukombe, Dkt. Doto Biteko leo ameshuhudia fainali ya mashindano ya Mwl. Doto CUP 2023, wilayani Bukombe mkoani Geita ambapo Walimu katika wilaya hiyo wameshindana katika  michezo…

Taasisi ya Umoja wa Mataifa yakabidhi magari kwa Jeshi la Polisi kuimarisha usalama

Na Mwandishi Jeshi la Polisi Jeshi la Polisi Nchini leo Oktoba 05, 2023 limekabidhiwa msaada wa magari Manne aina ya Nissan Patrol toka Taasisi ya Kimataifa inayoshughulikia mabaki ya shughuli za Mahakama za Makosa ya Jinai – IRMCT yenye ofisi…

Chongolo: Mawaziri watatu kuhusika fidia mradi wa umeme Tabora – Katavi

,Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Katavi Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), amesema atakutana na Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Wizara ya Nishati na Wizara ya Fedha, kwa ajili ya kutatua changamoto ya malipo ya fidia ya…

Hospitali Kuu ya Jeshi la Polisi yatoa huduma za kibingwa kwa wenye changamoto ya macho

Na Abel Paul, Jeshi la Polisi Dar es Salaam Jeshi la Polisi nchini kupitia Kikosi cha Afya na Hospitali ya CCBRT imetoa huduma za kibingwa kwa wananchi na Askari wa Jeshi la hilo wenye changamoto ya macho na mtoto wa…

Naibu Waziri Kapinga : Rais Samia ameibeba kwa dhati ajenda ya matumizi nishati mbadala

Na Waandishi Wetu, JamhuriMedia, Songea Naibu Waziri wa Nishati, udith Kapinga amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameibeba kwa dhati ajenda ya matumizi ya nishati mbadala kutokana na changamoto ya mabadiliko ya tabianchi….