Latest Posts
Bilioni 5.7/- kuunganisha kijiji cha Kapeta Landani kwa lami
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Songwe Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imeanza ujenzi wa Barabara ya Kiwira–Landani kwa kiwango cha lami yenye urefu wa Km 5 pamoja na daraja lenye urefu wa mita 40 kwa gharama ya shilingi…
Serikali yaahidi kuboresha vituo vya forodha nchini
Na Joseph Mahumi, WF, Kilimanjaro Serikali imeahidi kuboresha vituo vya Forodha mkoani Kilimanjaro, kwa kuweka vifaa vya kisasa, kuboresha majengo ya ofisi hasa jengo upande wa mizigo (Cargo), kuboresha mazingira ya nyumba za watumishi wa kituo hicho na kuongeza vitendea…
RC Kunenge asisitiza uadilifu WCF
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mkuu wa mkoa wa Pwani,Abubakari Kunenge ametoa rai , kwa Uongozi wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF )kutekeleza majukumu yao kwa uadilifu ili kuepusha upotevu wa fedha za Serikali. Alitoa rai hiyo,wakati akifungua mafunzo…
Kazi ya kusambaza umeme vijijini mwisho Desemba 2023- Kapinga
Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga akitoa maelekezo kwa mkandarasi pamoja na wafanyakazi wake alipokagua vifaa vilivyopo katika karakana na mkandarasi huyo anayetekeleza mradi wa kusambaza umeme katika vijiji vilivyo pembezoni mwa mji katika wilaya ya Tabora mjini, wakati wa…
NDC yajivunia mafanikio yake ndani ya mwaka mmoja
Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia SHIRIKA la Taifa la Maendeleo (NDC)limesema ndani ya kipindi cha mwaka mmoja linajivunia maendeleo yake kwa kufanikiwa kutekeleza miradi mbalimbali ya kiuchumi ambayo imekuwa ikigusa sekta muhimu za kilimo, viwanda, madini, nishati pamoja na miundombinu ya…
Tutaleta umeme vijijini – Dk Biteko
Lilian Lundo na Veronica Simba Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amesema shauku ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan ni kuona kila Mtanzania anapata umeme bila kujali aina ya nyumba…