JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Jenista awataka wananchi Kata ya Mtyangimbole Songea kumchagua mgombea udiwani CCM

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Madaba Songea. Wananchi wa Kata ya Mtyangimbole, Kijiji cha IKalangiro kilichopo Wilaya ya Songea Vijijini wametakiwa kutofanya makosa katika marudio ya uchaguzi mdogo wa udiwani katika kata hiyo utakaofanyika Septemba 19, mwaka huu na kuombwa kumchagua…

Uamuzi wa Rais Samia wawakosha wakazi wa Nanyamba

Na Immaculate Makilika – MAELEZO Wakazi wa Halmashauri ya Mji Nanyamba Wilaya Mtwara Vijijini wamefurahishwa na uamuzi wa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan wakuitaka Bandari ya Mtwara kuanza kusafirisha korosho. Akizungumza leo wilayani humo katika mahojiano maalum na Afisa wa…

Rais Samia ‘aiponya’ Msalala

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kahama HATUA ya Serikali Kuu kuipatia Halmashauri ya Msalala wilayani Kahama, Shinyanga zaidi ya Tsh. 4.5 Bilioni, imewezesha halmashauri hiyo kukamilisha majengo yake. Halmashauri hiyo imepanga kuhamia kwenye majengo yake yaliyopo Izengabatogilwe, Kahama mwanzoni mwa Oktoba,…

Pwani yazindua mfumo wa M MAMA utakaosaidia kuokoa maisha ya mama na mtoto mchanga

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mkoa wa Pwani, umezindua mfumo wa usafirishaji wa dharura kwa wajawazito waliojifungua na watoto wachanga (M MAMA)katika kituo cha kuratibu mawasiliano ya rufaa hospital ya mkoa Tumbi, Pwani. Akimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mgeni…

Kunenge awakumbusha waratibu TASAF kuwatoa wanufaika walioimarika na kuwaingiza wengine

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mkuu wa mkoa wa Pwani Abubakar Kunenge amewakumbusha Waratibu wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) kuhakikisha wanafanya ufuatiliaji kwa wanufaika wa mpango huo ili kuwatoa walioimarika na kutoa nafasi kwa wenye hali mbaya. Vilevile…

Dk Mollel akunwa na maboresho ya huduma MSD

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel, amesema ameridhishwa na mabadiliko yanayofanywa na Bohari ya Dawa (MSD) hususani katika utendaji na utekelezaji wa mikataba ya upatikanaji wa dawa na vifaa tiba nchini. Dk. Mollel amesema hayo…