Latest Posts
Idadi ya vifo vya tetemeko Japan yafikia 73
Idadi ya watu waliokufa katika tetemeko kubwa la ardhi nchini Japan imeongezeka na kufikia 73 mapema hii leo wakati shughuli ya kuwatafuta manusura ikiendelea. Vifo vyote vimeripotiwa kutokea katika eneo la Ishikawa lililoathirika zaidi na tetemeko hilo la ukubwa wa…
‘Rais wa zamani wa Afrika Kusini Thabo Mbeki yuko hai’
Rais wa zamani wa Afrika Kusini Thabo Mbeki ni mzima wa afya, imesema taasisi yake. Imesema hivyo baada ya taarifa kusambaa katika mitandao ya kijamii siku ya Jumatano ikizungumzia afya ya rais huyo wa zamani wa Afrika Kusini na madai…
Serikali kuajiri walimu 1,500 na kuboresha posho Z’bar
Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali imejenga skuli za kisasa za ghorofa mijini na vijijini pamoja na maeneo ya visiwa vidogovidogo ikiwemo Gamba, Kojani, Tumbatu. Amesema ahadi ya CCM iliandika kujenga mabanda ya skuli, ambapo Serikali ya…
Rais Mstaafu Kikwete ahudhuria sherehe za wajukuu zake kuhitimu kambi ya jando kijijini Msoga
Mchana wa tarehe 31 Desemba 2023 kijijini Msoga wilaya ya Chalinze mkoani Pwani ukoo wa Kikwete walikuwa na sherehe kubwa ya jando na unyago. Sherehe hiyo ilihusisha wavulana 11 na wasichana 7, wakiwemo watoto wa Ridhiwani Kikwete, Mbunge wa Chalinze…
Bodi ya nyama yatoa elimu Kanda ya Kaskazini, yawaonya wanaochezea nyama
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Bodi ya Nyama nchini (TMB), imeendelea kutoa mafunzo kwa wadau wa tasnia ya nyama kama inavyoekeleza sheria ya nyama namba 10 ya Mwaka 2006 ambayo ilizinduliwa Novemba 14, 2008 ikiwa na lengo la kuweka mazingira…
Israel yaimarisha ulinzi baada ya kuuwawa kiongozi wa Hamas
Jeshi la Israel limesema “lipo tayari kwa hali yoyote inayoweza kujitokeza” baada ya kufanya shambulio katika mji mkuu wa Lebanon Beirut na kumuua naibu kiongozi wa kundi la Hamas.Shambulizi hilo limezusha hofu ya vita vya Gaza kutanuka na kuwa mzozo…