JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Watu 15 wafamilia moja wafariki kwa kunywa uji Namibia

Watu 15 wa familia moja wamefariki nchini Namibia baada ya kunywa uji ambao maafisa wanaamini ulikuwa na sumu. Hili ni miongoni mwa matukio mabaya zaidi nchini humo ya maafa yanayotokana na chakula kibovu. Vyombo vya habari nchini humo vimeripoti kuwa…

Mwenyekiti CHADEMA Mbeya afutiwa uanachama

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Jimbo la Mbeya vijijini kimetangaza kumfutia uanachama Joseph Mwasote ‘China wa China’ ambaye ni Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Mbeya akidaiwa kuwa chanzo cha migogoro ndani ya chama hicho. Akitangaza maazimio ya Kamati…

Waziri Mkuu atoa maagizo kwa Waziri wa Madini

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amemuagiza Waziri wa Madini, Dkt. Dotto Biteko afuatilie taasisi za fedha zinazowakopesha wachimbaji wadogo kwa kuangalia viwango vya riba vinavyotolewa na aina ya shughuli wanazozifanya wajasiriamali hao ili kurahisisha urejeshwaji wa mikopo. Ameyasema hayo leo (Alhamisi,…

Serikali yawakaribisha wawekezaji wa Burundi kuwekeza nchini

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amewakaribisha wawekezaji kutoka nchini Burundi kuwekeza Tanzania kutokana na mazingira bora ya biashara yaliopo na kwamba Tanzania ni sehemu salama ya kuwekeza mitaji yao. Makamu wa Rais amesema…

Waziri Tax afanya mazungumzo na Balozi wa Urusi nchini

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Stergomena Tax (Mb.) amekutana kwa mazungumzo na Balozi wa Shirikisho la Urusi nchini, Andrey Avetisyan katika ofisi za Wizara Jijini Dodoma leo Mei 31, 2023. Katika mazungumzo hayo, viongozi…