JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Serikali kuunganisha mashirika 16, kufuta manne

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali imeekeza kuunganishwa mashirika na taasisi 16 na kufuta mengine manne yaliyokuwa chini ya Msajili wa Hazina ili kuongeza ufanisi wa utendaji kazi. Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango…

Ulega: Wafugaji lisheni juncao kuongeza mazao ya wanyama

Na Byarugaba Innocent,JamhuriMedia, Pwani Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega ametoa rai kwa wafugaji nchini kuilisha mifugo yao nyasi zilizoboreshwa aina ya Juncao ili kuongeza uzalishaji wa maziwa na mazao mengine yatokanayo na wanyama kuifikia tija kwenye sekta ya…

Wizara ya Afya yaielekeza MSD kujiendesha kibiashara na kuwa wabunifu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMwdia, Morogoro Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Dkt. John Jingu ameilekeza Bohari ya Dawa (MSD) kuwajali wateja na kuwashirikisha katika suala zima la kuwapa huduma za mnyororo wa ugavi wa bidhaa za afya nchini. Dkt. Jingu…

TMDA yawataka wakaguzi wa viwanda vya kutengeneza dawa kufuata maadili

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar Mamlaka ya Dawa  na Vifaa Tiba (TMDA) imewataka wakaguzi wa viwanda vya kutengeneza dawa  kufuata maadili kwani wao ndio nguzo kubwa katika kuhakikisha dawa zinazozalishwa zinakidhi vigezo vya kitiba na kiuchunguzi. Wito huo umetolewa leo…