JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Askari waliotimiza miaka tisa kazini waguswa na Kampeni ya Namthamini

Na Mwandishi Wetu , Jeshi la Polisi- Dar es Salaam Askari wa Jeshi la Polisi waliotimiza miaka tisa (09) kazini depo ya mwaka 2013/2014 (H3) wameguwa na Kampeni ya Namthamini inayoendeshwa na kituo cha Televisheni na Redio cha East Afrika…

Kibaha yaadhimisha Siku ya Usafirishaji kwa kishindo

Na Byarugaba Innocent, JamhuriMedia, Kibaha Leo Jumamosi Septemba 16,2023 Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Nickson John, amewaongoza mamia ya wananchi kuadhimisha Siku ya Usafishaji kwa kufanya usafi kwenye Soko la Loliondo kuanzia Saa 12 hadi saa 4 Asubuhi. Pamoja na…

Jenista awataka wananchi Kata ya Mtyangimbole Songea kumchagua mgombea udiwani CCM

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Madaba Songea. Wananchi wa Kata ya Mtyangimbole, Kijiji cha IKalangiro kilichopo Wilaya ya Songea Vijijini wametakiwa kutofanya makosa katika marudio ya uchaguzi mdogo wa udiwani katika kata hiyo utakaofanyika Septemba 19, mwaka huu na kuombwa kumchagua…

Uamuzi wa Rais Samia wawakosha wakazi wa Nanyamba

Na Immaculate Makilika – MAELEZO Wakazi wa Halmashauri ya Mji Nanyamba Wilaya Mtwara Vijijini wamefurahishwa na uamuzi wa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan wakuitaka Bandari ya Mtwara kuanza kusafirisha korosho. Akizungumza leo wilayani humo katika mahojiano maalum na Afisa wa…

Rais Samia ‘aiponya’ Msalala

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kahama HATUA ya Serikali Kuu kuipatia Halmashauri ya Msalala wilayani Kahama, Shinyanga zaidi ya Tsh. 4.5 Bilioni, imewezesha halmashauri hiyo kukamilisha majengo yake. Halmashauri hiyo imepanga kuhamia kwenye majengo yake yaliyopo Izengabatogilwe, Kahama mwanzoni mwa Oktoba,…

Pwani yazindua mfumo wa M MAMA utakaosaidia kuokoa maisha ya mama na mtoto mchanga

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mkoa wa Pwani, umezindua mfumo wa usafirishaji wa dharura kwa wajawazito waliojifungua na watoto wachanga (M MAMA)katika kituo cha kuratibu mawasiliano ya rufaa hospital ya mkoa Tumbi, Pwani. Akimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mgeni…