Latest Posts
Jando, unyago vyachangia ukatili wa kijinsia
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mtwara MKOA wa Mtwara umetajwa kuwa miongoni mwa mikoa inayochangia kwa kiasi kubwa ukatili wa kijinsia dhidi ya watoto wa kike hali inayohusishwa wa utekelezaji wa mila za jando na unyago. Akizungumza leo mkoani Mtwara katika…
Wizara ya Ardhi yaanza maboresho katika vyuo vyake
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeanza maboresho katika maeneo ya vyuo vyake vya Ardhi vya Morogoro (ARIMO) na Tabora (ARITA) Hayo yamebainishwa tarehe Novemba 24, 2023 na Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba…
Dk Biteko : Rais, Dk Samia anataka mahusiano mazuri kati ya TRA na wafanyabiashara
📌Aipongeza TRA kufikia asilimia 97.4 ya ukusanyaji mapato mwaka 2022/2023 📌Ataka Wafanyabiashara kuendelea kulipa kodi kwa maslahi ya nchi Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka Wafanyakazi wa Wizara ya Fedha na Mamlaka ya Mapato…