Latest Posts
Ziara ya Dk Biteko mikoa ya Lindi, Mtwara yaacha alama
📌Aagiza kituo cha Polisi, Afya, Taa za Barabarani kuwekwa Kijiji cha Msimbati 📌Wananchi Kijiji cha Songosongo kupatiwa umeme, Maji, Kivuko 📌Aagiza Vijiji vya Msimbati, Madimba na Songosongo kupata gawio la Ushuru wa pHuduma 📌Ataka TANESCO kuja na suluhisho la changamoto…
Stamico: Tutaendelea kuwabeba wachimbaji wadogo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Lindi Shirika la Madini la Taifa (Stamico) limesema litaendelea kutoa elimu, vifaa na kuboresha mazingira ya uchimbaji hapa nchini ili rasilimali za Taifa ziweze kusaidia wengi zaidi. Miongoni mwa mafanikio wanayojivunia ni ushirikiano na makubaliano waliyoingia…
Dkt.Mwinyi:Imarisheni mipango ya maendeleo kukuza haki za kiuchumi kwa wanawake
Na Mwandishi Wetu JAMHURI MEDIA, Dar es Salaam Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Alli Mwinyi amewataka mawaziri wa fedha na jinsia kwa nchi za Afrika kuimarisha mipango ya maendeleo ili kukuza haki za kiuchumi…
Ziara ya Rais Samia Morocco na Saudi Arabia kunufaisha Sekta za Uvuvi nishati ajira na uwekezaji
Na Mwandishi Wetu JAMHURI MEDIA Dar es Salaam Ziara za Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan katika nchi za Morocco na Saudia Arabia zimeleta manufaa na tija kubwa nchini katika sekta mbalimbali ikiwemo mifugo, nishati, ajira…
ICTC kujenga vituo nane vya TEHAMA Tanzania
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Lindi Serikali inakusudia kujenga vituo nane (one-stop centres) nchini vya ubunifu wa teknolojia vitakayowezesha vijana na wananchi kwa ujumla kuvitumia kuboresha kazi zao za kibunifu. Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Tehama (ICTC), Dkt. Nkundwe Mwasaga, ameyasema…
Kiwango cha upatikanaji chakula chapaa Umasikini wa chakula ukipungua
Na Mwandishi Wetu JAMHURI MEDIA Dar es Salaam.Naibu Waziri wa Fedha Hamad Hassan Chande amesema kwa sasa Tanzania kiwango chaupatikanaji wa chakula kimeongezeka na hali ya umaskini wa chakula imepungua. Amesema ahueni hiyo ni kutokana na mchango wa Benki ya…