JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Polisi kuchunguza aliyejifanya mganga wa kienyeji na kuwalewesha watu 16 wa familia moja

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linachunguza tukio la mtu mmoja aliyejifanya mganga wa jadi huko maeneo ya Mji mwema, Kigamboni, Dar es Salaam kwa kuwanywesha dawa inayodhaniwa kuwa ni…

TIMEXPO 2024 kuanza Septemba 26, mwaka huu, Dar

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Shirikisho la Wenye Viwanda Tanzania (CTI) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Maendeleo na Biashara Tanzania (TanTrade) wamefungua rasmi maonesho ya pili ya Kimataifa ya wazalishaji Tanzania (TIMEXPO 2024). Maonesho hayo yanatarajiwa kufanyika Septemba…

Mkutano Mkuu wa Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani kuanza Februari 12, nchi 140 kuhudhuria nchini

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi wa Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) Francis Mbindi ameeleza kuwa Tanzania inatarajiwa kuwa mwenyeji wa Mkutano Mkuu wa 79 wa Baraza la Michezo ya Majeshi…

Rais Samia awapa maua yao Ramadhan Brothers

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar ea Salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amewapongeza Wachezaji Sarakasi wa Kimataifa, Fadhili Ramadhani na Ibrahim Jobu maarufu kama Ramadhani Brothers baada ya kuibuka Mabingwa wa Dunia katika Mashindano…

Tutunze fasihi-Prof Mkenda

Na Mwandishi Wetu, Jamhurimedia, Dar es Salaam Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda amesema ili kukuza lugha zetu ni lazima tuendeleze, tutunze na kuenzi fasihi. Prof. Adolf Mkenda ameyasema hayo leo Februari 20, 2024 jijini Dar es…

Maofisa Polisi waliopanda vyeo wala kiapo cha utii, maadili

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar ea Salaam Maofisa wa Jeshi la Polisi 155 waliopandishwa vyeo na Rais Samia Suluhu Hassan wamekula kiapo cha utii kwa Mkuu wa Jeshi la Polisi, IGP Camilius Wambura. Maofisa hao pia wamekula kiapo cha maadili…