JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Liverpool ngoma nzito kwa Arsenal

Wakiwa ndani yà Anfield Liverpool wamekubali kugawana pointi mojamoja na Arsenal ikiwa ni ngoma nzito kwa timu zote kusepa na poiti tatu. Baada ya dakika 90 ubao umesoma Liverpool 2-2 Arsenal huku kipindi cha kwanza kikiwa ni mali ya Arsenal…

Rais Samia avunja bodi ya TRC,atengeua uteuzi wa TFGA

Na Tatu Saad,JamhuriMedia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amevunja Bodi ya Shirika la Reli Tanzania (TRC) na kufanya utenguzi katika shirika la ndege za serikali. Rais Samia amemtengua…

Makamu wa Rais katika ibada ya Pasaka

…………………………………………………………… Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango na Mkewe Mama Mbonimpaye Mpango leo tarehe 09 Aprili 2023 wameungana na waumini wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mtakatifu Mwenyeheri Maria Theresa Ledochowska Kiwanja cha Ndege Dodoma…

Marekani yaitaka China ijizuie wakati wa mazoezi yake ya kijeshi Taiwan

China imefanya mazoezi ya kijeshi ya majini kwa siku ya pili kuzunguka Taiwan, huku hali ya wasiwasi ikiendelea kuongezeka baada ya ziara ya Rais Tsai Ing-wen nchini Marekani wiki iliyopita. Mazoezi hayo ambayo Beijing imeyaita “onyo kali” kwa Taipei –…

Watoto saba wazaliwa mkesha wa Pasaka

Watoto saba wamezaliwa katika mkesha wa Sikukuu ya Pasaka huku katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Morogoro. Hayo yamebainishwa leo Jumapili April 9, 2023 na Kaimu Afisa Mahusiano wa hospitali hiyo, Scolastika Ndunga amesema kuwa watoto saba wamezaliwa katika mkesha…