Latest Posts
MSD:Hatuagizi barakoa nje ya nchi tena
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Bohari ya Dawa (MSD),imesema haitoagiza barakoa kutoka nje ya nchi kutokana na kiwanda kilichopo nchini kinakidhi mahitaji na tayari imeokoa bil.2.9 kwa kutoagiza kutoka nje ya nchi. Hayo yamesemwa leo Aprili 6, 2023 na Meneja kutoka Idara…
Yanga kukutana na Rivers United
Klabu ya Yanga imepangwa kundi D katika Michuano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika na Rivers United kutoka nchini Nigeria katika hatua ya Robo Fainali ya Michuano hiyo na itaanzia ugenini mchezo wa kwanza. Yanga SC walimaliza nafasi ya kwanza…
Simba mikononi mwa mabingwa CAF
Wakiwa na hesabu za kuvaana na Ihefu kesho mchezo wa Khatua ya robo fainali Azam Sports Fedration wameshatambua kigongo watakachokutana nacho kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika. Ni Wydad Athletic Club hawa watamenyana na Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Roberto Oliveira…
Msukumo wa Rais Samia Sekta ya Madini, wachangia Trilioni 1. 19/-
Imeelezwa kuwa msukumo uliowekwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu katika Sekta ya Madini umewezesha kuongeza kasi ya ukuaji wa sekta ndogo ya madini ya Viwandani ambapo katika kipindi cha miaka miwili madarakani, mchango wa…
Sabaya aachiwa huru
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Moshi Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi,imemuachia huru aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya. Sabaya amefutiwa mashtaka saba yaliyokuwa yakimkabili leo Aprili 5,2023 likiwemo la uhujumu uchumi, kuongoza genge la uhalifu na matumizi mabaya…