Latest Posts
Serikali yatia vifaa vya kuwasaidia waathirika wa mafuriko Hanang’
Awamu ya ya kwanza vya vifaa tiba na dawa vilovyotolewa na serikali kupitia Bohari ya Dawa (MSD) kwa ajili ya kuwasaidia waathirika wa mafuriko Hanang imewasili katika Hospitali ya Wilaya ya Hanang (Tumaini). Meneja wa Kanda ya MSD Kilimanjaro Rehema…
Serikali kupitia MSD kanda ya Dar es Salaam yasambaza vifaa tiba kwa vituo vya afya 23
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Serikali kupitia Bohari ya Dawa (MSD), Kanda ya Dar es Salaam imesambaza vifaa tiba vya zaidi ya sh. milioni 930 kwa ajili ya vituo vya afya 23 vya Halmshauri ya Wilaya ya Ulanga. Akizungumza jana wilayani…
Tunafuatilia uadilifu katika utoaji huduma za Ardhi – Pinda
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Serikali inaendelea kusimamia ufuatiliaji wa tathmini katika utekelezaji wa majukumu ya Sekta ya Ardhi na uadilifu katika utoaji wa huduma za ardhi nchini. Hayo yamebainishwa na Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi…





