JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ridhiwani: Serikali imedhamiria kuinua kaya maskini kwa kupeleka fedha za TASAF

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia,Kibaha Halmashauri nchini zimetakiwa kushirikiana na Serikali kupunguza umaskini kwenye baadhi ya kaya ikiwemo  ,kuvikopesha vikundi vya wanufaika wa mpango wa kunusuru kaya maskini( TASAF) ili viweze kujiinua kiuchumi. Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejiment ya Utumishi…

Tazama matokeo kidato cha sita

MATOKEO YA KIDATO CHA SITA (ACSEE) 2023 NA UALIMU 2023 YAMETANGAZWA Bofya link chini kutazama matokeo haya MATOKEO YA MTIHANI WA UALIMU (DSEE) 2023 https://matokeo.necta.go.tz/results/2023/dsee/index.htm MATOKEO YA MTIHANI WA UALIMU (GATCE) 2023 https://matokeo.necta.go.tz/results/2023/gatce/index.htm MATOKEO YA MTIHANI WA UALIMU (GATSCCE) 2023…

Azimio wamkalia kooni Ruto, watangaza maandamano tena wiki ijayo

Na Mwandishi wetu, JAMHURI MEDIA, Nairobi Katibu mkuu wa chama cha upinzani cha ODM nchini Kenya ambaye pia ni Seneta wa jiji la Nairobi Edwin Sifuna ameitisha maandamano ya siku tatu kuanzia wiki ijayo, akiapa kuzidisha maandamano dhidi ya serikali…

Azimio wamkalia kooni Ruto, watangaza maandamano tena wiki ijayo

Na Mwandishi wetu, JAMHURI MEDIA, Nairobi Katibu mkuu wa chama cha upinzani cha ODM nchini Kenya ambaye pia ni Seneta wa jiji la Nairobi Edwin Sifuna ameitisha maandamano ya siku tatu kuanzia wiki ijayo, akiapa kuzidisha maandamano dhidi ya serikali…

Abbott Fund kuendeleza ushirikiano na Muhimbili

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Mfuko wa Abbott wenye makao yake makuu nchini Marekani umeahidi kuendelea kushirikiana na Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) katika maeneo mbalimbali ikiwemo kuwajengea uwezo watalaam wa vifaa tiba na baadhi ya kada zenye uhaba zitakazoainishwa hapo…

Jerry: Baadhi ya hoja za kisheria wanaozijadili wanasheria hawazijui au wanapotosha makusudi

Wakati gumzo la mkataba wa uwekezaji Bandarini Dar es Salaam likiendelea, Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mita ji ya Umma (PIC) ambaye pia ni Mbunge wa Ukonga, Jerry Silaa ameelezea mengi ikiwemo hoja za kisheria…