Latest Posts
Tanzania kushirikiana na Morocco katika michezo
Na Eleuteri Mangi Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Damas Ndumbaro amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Morocco hapa nchini Mhe. Zakaria El Goumiri kuhusu ushirikiano baina ya Tanzania na Morocco katika Sekta ya Michezo. Kikao hicho kimefanyika…
Naibu Waziri Mkuu asisitiza umuhimu wa ufuatiliaji na tathmini Serikalini
Na Mwandishi Wetu , JamhuriMedia, Arusha Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Dotto Biteko amesema kama Serikali haitafanya Tathmini ya Shughuli zake haitakuwa na uwezo wa kujipima na vihatarishi vya utekelezaji wa mipango yake. Naibu Waziri Mkuu Dkt….
TRA Pwani yazindua kampeni maalumu ya tuwajibike
Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Pwani katika kupambana na kudhibiti mianya ya ulipaji wa kodi imezindua kampeni maalumu yenye lengo la kutoa elimu kwa wafanyabiashara juu kutumia mashine za kielekroniki (EFD) pindi wanapouza bidhaa zao. Hayo yamebainishwa…
Mji maarufu kwa vito Thailand waiomba Tanzania kuufungulia milango
Wafanyabiashara wa Tanzania wakaribishwa kushiriki Maonesho Oktoba Chanthaburi-Thailand Serikali katika mji mkongwe na maarufu kwenye shughuli na Biashara ya Madini ya Vito wa Chanthaburi nchini Thailand umeiomba Tanzania kuufungulia milango na kuimarisha ushirikiano kwenye uendelezaji wa Sekta Ndogo ya Madini…
Uchunguzi na tiba mishipa ya damu vyaimarishwa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Katika kuboresha huduma za kibingwa nchini Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imepokea msaada wa kifaa maalum chenye mfumo halisi wa mwili wa binadamu “Simulator” ambacho kitatumika kuendelea kuwajengea uwezo wataalamu wa Tiba Radiolojia (Interventional Radiology) kufanya…
RC Chalamila ashuhudia utiaji saini mikataba ya ujenzi ya barabara TARURA Dar
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila leo Agosti 12, 2023 ameshuhudia utiaji Saini wa mikataba ya kazi za ujenzi na matengenezo ya Barabara TARURA Mkoa wa Dar es Salaam yenye thamani ya Tshs….