Latest Posts
Bil.7.5 kukarabati kivuko MV Magogoni
Na Alfred Mgweno -TEMESA Serikali kupitia Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) imesaini mkataba wa ukarabati wa kivuko cha MV. Magogoni wenye thamani ya shilingi bilioni 7.5. Mkataba huo umesainiwa leo katika eneo la kivuko cha Magogoni Kigamboni jijini…
Nape:Serikali itasimamia na kulinda uhuru wa kujieleza
Na Mwandishi Wetu,Jamhurimedia Serikali imesema itasimamia na kulinda uhuru wa kujieleza na haitoingilia kwenye uhuru wa vyombo vya habari. Pia inataka kuwa mlezi wa uhuru wa kujieleza na haitaki kuingilia biashara ya vyombo vya habari. “Inachotaka ni kuwa mlezi wa…
Tanzania,Angola zasaini hati za makubaliano
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Angola zimesaini Hati mbili za Makubaliano (MoUs) za kuanzisha Tume ya Kudumu ya Pamoja (JPC) na Hati ya Ushirikiano kati ya Chuo Cha Diplomasia cha Tanzania (CFR) na…
Moto wateketeza bweni la wanafunzi sekondari ya Lugarawa Njombe
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Njombe Wanafunzi 82 wa shule ya sekondari Lugarawa wilayani Ludewa mkoani Njombe wamenusurika kuungua baada ya bweni lao kuteketea kwa moto na kuunguza mali za wanafunzi na za shule zenye thamani zaidi ya sh. milioni 18. Akizungumza…