JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mavunde:Sekta ya madini kufungamanisha sekta nyingine kiuchumi kupitia taarifa za miamba

#Balozi wa Tanzania nchini Brazil kutangaza fursa Sekta ya Madini nchini humo Waziri wa Madini Anthony Mavunde amesema kuwa Sekta ya Madini inatarajiwa kuwa chanzo cha taarifa sahihi za Miamba itakayosaidia kuendeleza sekta zingine ikiwemo ya Kilimo na Viwanda na…

AICC yapata mafanikio makubwa baada ya Rais Samia kuifungua nchi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC), kimepata mafanikio makubwa baada ya Rais Samia Sulubu Hassan kuifungua nchi. Hayo yamebainishw leo Septemba 14, 2023 jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi wa vituo vya AICC na…

Silaa ahimiza wakuu wa mikoa kutekeleza maamuzi ya Baraza la Mawaziri

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Nanyumbu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa amehimiza wakuu wa mikoa nchini kuhakikisha wanatekeleza maamuzi ya Baraza la Mawaziri kuhusiana na migogoro ya matumizi ya ardhi katika vijiji 975 ‘’Niwaombe wakuu wa…

Tanzania yajifunza uendeshaji minada ya kimataifa ya madini kwa kampuni yenye uzoefu wa miaka 50

Wafanyabiashara Thailand Waeleza Umuhimu wa kushirikiana na Wenzao wa Tanzania Kwa mara nyingine Watanzania Wapata Fursa kujifunza Uongezaji Thamani Madini Thailand Bangkok- Thailand Ujumbe wa Tanzania Nchini Thailand ukiongozwa na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Madini Msafiri Mbibo, umejifunza namna…