Latest Posts
Wanajeshi wa Niger watangaza mapinduzi kwenye
Wanajeshi katika nchi ya Afrika Magharibi ya Niger wametangaza mapinduzi kwenye televisheni ya taifa. Walisema wamevunja katiba,wamesimamisha taasisi zote na kufunga mipaka ya taifa. Rais wa Niger Mohamed Bazoum amekuwa akishikiliwa na wanajeshi kutoka kwa kikosi cha walinzi wa rais…
Tanzania yachaguliwa makamu mwenyekiti jopo la kimataifa la sayansi ya mabadiliko tabianchi
Tanzania kupitia Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Shirika la Hali ya Hewa Duniani (WMO), Dkt. Ladislaus Chang’a, amechaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Jopo la Kimataifa la Sayansi…
DED Msalala atamba kuvuka lengo makusanyo ya mapato 2023/2024
Na Mwandushi Wetu, JAMHURI MEDIA Mkurugernzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala mkoani Shinyanga, Khamis Katimba amesema, halmashauri hiyo imepanga kuvuka lengo la makusanyo ya mapato yaliyokusanywa katika Mwaka wa Fedha 2022/23.Akizungumza na mwandishi wa habari hii, Katimba aliyeteuliwa…
Serikali yamwaga mabilioni kujenga shule mpya Ruvuma
Na Albano Midelo, JamhuriMedia, Songea Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Deogratias Ndejembi amesema serikali ya Awamu ya sita mwaka huu imetoa zaidi ya shilingi bilioni 230 kwa ajili ya ukarabati na ujenzi wa miundombinu ya shule za…