JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mifugo 2,225 yakamatwa ikisafirishwa bila kibali

Jeshi la Polisi Nchini kupitia kikosi cha Kuzua na kupambana na Wizi wa Mifugo (STPU) katika operesheni mbalimbali wamefanikiwa kukamata jumla ya mifugo 2,225 ambayo ilikua inasafirishwa bila kufuata utaratibu ambapo mifugo hiyo iliingizwa katika mapori tengefu pamoja na vyanzo…

CCM haitaacha kuhoji watendaji wa Serikali

Katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo amesema CCM hakiko tayari kuacha kuhoji na kufuatilia kwa ukaribu miradi mbalimbali ya kimaendeleo na ya kimkakati inayotekelezwa na Serikali. Chongolo ametoa Kauli hiyo leo Januari 30, 2023 katika Kata ya…

Wanafunzi mbaroni kwa vitendo vya udhalilishaji kimtandao

Jeshi la Polisi mkoani Arusha limesema kuwa limefanikiwa kuwakamata wanafunzi wawili wa chuo cha Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru kwa tuhuma za unyanyasaji wa kijinsia kwa mwanafunzi wa chuo hicho kwa njia ya mtandao na wanafunzi wenzake. Akitoa taarifa…