JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Polisi wazungumzia taarifa za ugaidi kwenye mitandao

Jeshi la Polisi Tanzania limesema kuwa hali ya ulinzi na usalama wa nchi ni shwari kwani matukio makubwa yanayoweza kuleta hofu kwa wananchi yanaendelea kudhibitiwa, Kwa mujibu wa taarifa ilitolewa kwa vyombo vya habari leo Januari 26, 2023 na msemaji…

Kilo 399 za dawa za kulevya zakamatwa

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya imekamata jumla ya kilo 399.28 za dawa za kulevya aina ya bangi katika Kitongoji cha Sokoni, Kiji cha Chogoali, Kata ya lyogwe, tarafa ya Gairo, wilaya ya Gairo, mkoani Morogoro. Kwa…

Umoja wa Ulaya waridhishwa na mradi wa maji Mwanza

………………………………………………………………………………………………………. Mabalozi wa Umoja wa Ulaya wameridhishwa na ubora na kasi ya ujenzi wa mradi wa shilingi bilioni 69 wa Dakio jipya la Maji katika eneo la Butimba Jijini Mwanza. Mabalozi wa Umoja huo wamepongeza jitihada zinazoendelea kuchukuliwa na Serikali…

Serikali kurejesha upya gharama za upandikizaji mimba

Na WAF – Dar es Salaam Serikali kupitia Wizara ya Afya imejipanga kurejea upya gharama za upandikizaji wa mimba kwa wananchi wenye matatizo ya uzazi na kutopata watoto ili kuwapunguzia mzigo wa gharama kubwa endapo watajiunga na Bima ya Afya…

Wizara ya Afya yawachukulia hatua watumishi

Serikali imewachukulia hatua watumishi wa wawili wa afya ambao video yao ilisambaa kwenye mitandao ya kijamii ikiwaonyesha watumishi hao wakijibizana kuhusu matumizi ya vifaa (vitendanishi) vya kupimia malaria vilivyoisha muda wake wa matumizi. Watumishi hao Rose Shirima ambaye ni mkunga…