Latest Posts
TMA yatoa angalizo kuwepo kwa upepo mkali
Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA),imetoa tahadhari kwa wananchi wanaofanya shughuli zao katika bahari ya Hindi kuhakikisha wanachukua tahadhari kutokana na angalizo la kuwepo kwa vipindi vua upepo mkali. Kwa mujibu wa mchambuzi wa Hali ya Hewa kutoka TMA,Rose…
Serikali yafurahishwa na utendajikazi wa Yapi Merkezi,yaongeza mkataba
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Tabora YAPI Merkezi, kampuni ya Uturuki iliyopewa kandarasi na Shirika la Reli Tanzania (TRC) imeanza kujenga awamu nne ya kipande cha reli ya kisasa (SGR) cha Tabora-Isaka kwa kufanya uzinduzi mkubwa ulioshuhudiwa na wageni waalikwa akiwemo Makamu wa…
Makamba:Serikali kuboresha maghala ya kuhifadhi mafuta
Na Godfrey Mwemezi,JamhuriMedia,Dodoma Waziri wa Nishati,January Makamba amesema kuwa serikali inaendelea na jitihada mbalimbali za kupata wawekezaji watakaojenga Ghala kuu la kupokelea mafuta kwa pamoja ili kuwezesha nchi kuwa na uhakika zaidi wa upatikanaji wa mafuta. Makamba ameyasema hayo tarehe…
Biteko: Ushirikiano Tanzania,Canada katika sekta ya madini umeendelea kuimarika
Waziri wa Madini Dkt.Doto Biteko amesema ushirikiano uliopo kati ya Tanzania na Canada katika sekta ya Madini umeendelea kuimarika hususan katika masuala ya utafiti wa madini. Dkt.Biteko ameyabainisha hayo leo Junuari 19, 2023 mara baada ya kukutana na kufanya mazungumzo…