JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

TEA kuendelea kuwanufaisha vijana

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma MAMLA ya Elimu Tanzania (TEA), kupitia mradi wa Mfuko wa kuendeleza ujuzi imefanikiwa kuwafikia vijana 49,063 kupitia mafunzo katika sekta za kilimo,uchumi, TEHAMA , Utalii, nishati,ujenzi na uchukuzi. Imesema vijana walionufaika ni pamoja na vijana…

Waislamu waigomea Serikali mtaala wa elimu dini mseto

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar Taasisi na jumuiya za kiislamu Tanzania, haikubaliani na hatua ya Serikali kusimamia dini ya kiislamu na kuifundisha Akizungumza na waandishi wa habari leo Agosti 10, 2023, Amiri Jumuiya na Taasisi za Kislamu Tanzania Alhajj Sheikh…

Jeshi la Polisi litaendelea kushirikisha jamii kutokomeza uhalifu nchini

Na Abel Paul wa Jeshi la Polisi-Tanga Jeshi la Polisi limesema litaendelea kushirikisha Jamii katika kupambana na uhalifu katika maeneo mabalimbali hapa Nchini huku likipongeza wadau wenye mapanzi mema na Jeshi hilo kwa mashirikiano wanayoyaonyesha katika Mapambano dhidi ya uhalifu…

Biteko: Hakuna mradi utakaosimama chini ya uongozi wa Rais Samia

Na Mathias Canal, JamhuriMedia, Geita Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Mbunge wa Jimbo la Bukombe ambaye pia ni Waziri wa Madini Mhe Dkt Doto Mashaka Biteko amewahakikishia Wananchi wa Mkoa Geita kuwa Miradi yote mikubwa ya kimkakati…