Latest Posts
Majaliwa:Serikali yaridhishwa na ukuaji sekta ya madini
Sekta ya madini ni miongoni mwa sekta zinazokua kwa kasi hapa nchini, hivyo Serikali imeendelea kuhakikisha uwekezaji katika Sekta ya Madini unaongezeka ili iweze kuchangia ipasavyo katika ukuaji wa uchumi. Takwimu zinaonyesha kuwa kwa sasa kasi ya ukuaji wa shughuli…
PSSSF yajipanga kuendeleza ubora, mafao kulipwa ndani ya siku 30
Na Beatrice Sanga-MAELEZO Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) umesema utaendelea kuimarisha huduma zake kwa wateja ili kuongeza ufanisi na kupunguza urasimu na muda wa malipo kwa wanufaika wa mfuko huo. Hayo yameelezwa leo August 31,…
Sekta ya Posta bado ni huduma muhimu – Waziri Nape
Na Immaculate Makilika –MAELEZO Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye amesema kuwa Sekta ya Posta ni huduma muhimu barani Afrika inayohitaji kuboreshwa zaidi ili iendeelee kutoa huduma kulingana na mazingira ya sasa. Akizungumza leo jijini…
Wizara ya ardhi yaja na mabadiliko makubwa ya kimfumo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi imesema inaendelea kufanya maboresho makubwa ya kimfumo na muundo kwa lengo la kuewezesha mambo mengi ya wizara hiyo kufanyika kimfumo, Hayo yamebainishwa leo Agosti 31, 2023 na Katibu…





