JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Watu 43 wafanyiwa upasuaji Bombo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Kambi maalum ya upasuaji wa kurekebisha viungo iliyoanza Julai 17, 2023 katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Tanga ‘Bombo’ imefanikiwa kuwafanyia upasuaji watu 43 kati ya 86 hadi kufikia leo. Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu ametoa…

Washiriki mkutano wa IAWP waanza kuona mafanikio

Na Abel Paul wa Jeshi la Polisi- Dar es Salaam Mkutano wa Mafunzo wa Jumuiya ya askari Polisi wa Kike wa Duniani Ukanda wa Afrika (IAWP – International Association of Women Police – African Chapter) utafungua milango ya mashirikiano katika…

Rais Samia kuweka jiwe la msingi viwanja vya Mashujaa Mtumba jijini Dodoma

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Maandalizi ya maadhimisho ya Siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa yamekamilika katika eneo la Mtumba jijini Dodoma huku Serikali ikitoa maelekezo kwa mikoa yote nchini kufanya maadhimisho hayo kwa kufanya usafi, upandaji miti na shughuli nyingine…

Majaliwa atoa siku saba kwa TARURA, DAWASA kukamilisha barabara Muhimbili

………………………………………………………….. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewapa siku saba Meneja wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mkoa wa Dar es Salaam Godfrey Mikinga na Mkurugenzi wa Usafi wa Usimamizi wa Usafi wa Mazingira wa Mamlaka ya Maji Safi…

Upasuaji rekebishi kuimarishwa Muhimbili

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMediaHospitali ya Taifa Muhimbili itashirikiana na Chuo Kikuu cha Tiba kilichopo Bayreuth nchini Ujerumani katika kuwajengea uwezo wataalamu wa Kitengo cha Upasuaji Rekebishi wa MNH(reconstructive surgery). Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa MNH Prof. Mohamed Janabi alipokutana…

Serikali yaipa kipaumbele miradi ya umwagiliaji Ruvuma

Serikali imetenga fedha katika bajeti ya mwaka 2023/24 kwa ajili ya utekelezaji mkubwa wa miradi ya umwagiliaji katika bonde la Mto Ruvuma, Ruhuhu na Litumbandyosi mkoani Ruvuma. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Kilimo,Anthony Mavunde katika ziara ya Makamu wa…