Latest Posts
Tanzania kunufaika na dola bilioni 1 kutoka Korea
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, ameishukuru Serikali ya Jamhuri ya Korea kwa kutenga kiasi cha dola za Marekani bilioni 1 zitakazotolewa kwa njia ya mkopo nafuu kwa Tanzania kupitia Mfuko wa Shirika la Maendeleo ya Kiuchumi…
Mambo ya Ndani yataja mafanikio ya miaka 61 ya Uhuru
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imetaja mafanikio ambayo imeyapata katika kipindi cha miaka 61 ya uhuru wa Tanzania Bara huku ikiahidi kushirikiana na wizara nyingine katika kuhakikisha amani, usalama wa raia na mali zao vinalindwa ili kuiwezesha nchi…
Ujenzi kituo cha kupoza umeme Ifakara kukamilika Machi 2023
Mradi wa Ujenzi wa Kituo cha Kupoza Umeme cha Ifakara umefikia asilimia 80.1 na unatarajiwa kukamilika mwezi Machi, 2023 ambapo mpaka sasa tayari transfoma ya kisasa imeshawekwa na kituo kitatoa njia nne za umeme ambazo zitapeleka umeme kwenye maeneo mbalimbali….
TAWA kuongeza Simba,Chui bustani ya Luhira Songea
…………………………………………………………… Serikali kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) chini ya Wizara ya Maliasili na Utalii inatarajia kuongeza wanyama jamii ya Simba, Chui, fisi,mbuni,kobe na mamba katika bustani ya asili ya Luhira Manispaa ya Songea. Antony Masebe ni Kamanda…
Naibu Waziri asema DM ni muhimu kwa uchumi wa buluu
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi imeahidi kuzifanyia kazi changamoto mbalimbali zinazokikabili Chuo ch bahari Dar es Salaam (DMI). Ahadi hiyo ilitolewa jana na Naibu Waziri wa wizara hiyo, Atupele Mwakibete, wakati wa mahafali ya 18 ya chuo…