JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wadau Marekani Kuupaisha muziki wa Tanzania kimataifa

Seattle, Washington State, Marekani Muziki na sanaa nyingine za Tanzania vitapata fursa nyingine muhimu kuzidi kupaa na kujinadi kimataifa kufuatia mazungumzo yaliyofanyika kati ya wawakilishi wa Serikali ya Tanzania na wadau wa sanaa katika mji wa Seattle nchini Marekani. Mazungumzo…

Auawa kwa kukatwa mapanga mkoani Shinyanga

Mwanamke mmoja (50),Mkazi wa Kitongoji cha Mwamboku Kata ya Kashishi Wilaya ya Kipolisi Msalala Mkoani Shinyanga,Sele Luchagula, ameuawa na watu wasiojulikana akiwa anakula kwa kukatwa mapanga sehemu mbali mbali za mwili hali iliyopelekea kupoteza maisha papo hapo.Mauaji hayo yametokea Novemba…

Rais Samia Ziarani Mkoani Manyara

Rais Samia akiwa ziarani mkoani Manyara kwa siku ya pili leo ametembelea na kukagua mirandi mbalimbali ya kimaendeleo pamoja na kuzungumza na wananchi wa mkoa huo

Klabu ya Manchester United yatangaza kupigwa mnada

Klabu ya Machester United iko mbioni kupigwa mnada na kuwa chini ya mmiliki mpya mara baada ya wamiliki wa klabu hiyo ambao ni familia ya Glazers kukubali kuiuza. Kupitia taarifa iliyotolewa leo Novemba 23, 2022 kwenye tovuti rasmi ya Manchester…

Tanzania kuzidi kunufaika na miradi ya WIPO

Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Umoja wa Mataifa na Mashirika ya Kimataifa Jijini Geneva Uswisi, Mhe. Balozi Maimuna Tarishi amesema kuwa Tanzania inaendelea kunufaika na miradi mingi ambayo hutolewa na Shirika la Miliki Ubunifu Duniani (WIPO). Kauli hiyo aliitoa…