JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Yanga wamuuza Fei Toto Azam Fc

Na Mwandishi Wetu Uongozi wa Young Africans Sports Club umesema kuwa umemuuza Mchezaji Feisal Salum “Fei Toto” kwa Kilabu ya Azam FC kwa dau ambalo halitawekwa wazi. Kwa Mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa umma Leo Juni 8, 2023, kilabu hiyo…

Tanzania, Uingereza kuimarisha usawa wa kijinsia

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum imekubaliana na Kamisheni ya Uingereza kushirikiana ili kuimarisha usawa wa kijinsia nchini. Hayo yamebainika wakati wa kikao cha Wizara na Kamisheni hiyo kilichofanyika…

Baraza jipya la Madaktari Tanganyika lazinduliwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amezindua Baraza jipya la Madaktari Tanganyika linalotarajia kudumu kwa muda wa miaka mitatu, huku moja ya jukumu la Baraza hilo ni kumshauri Waziri wa Afya katika masuala ya udhibiti, utoaji…

Biteko ataka sekta ya madini kuchangia zaidi fedha za kigeni

Zikiwa zimetimia Siku 100 tangu ateuliwe na kuapishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan Februari 27, 2023 kuiongoza Wizara ya Madini, Juni 7, 2023, Katibu Mkuu Kheri Mahimbali akizungumza na Watumishi wa Wizara, aliwaeleza…

Rais Museveni akutwa na Korona

Rais wa Uganda Yoweri Museveni amesema ameambukizwa Uviko-19 baada ya moja ya vipimo vitatu vilivyofanyiwa uchunguzi kubainika kuwa na virusi. Museveni, ambaye alitoa hotuba ya hali ya taifa mapema Jumatano, alisema alijihisi kuwa na homa kidogo, hali iliyomfanya kupimwa. Katibu…

Rais Samia amteua Prof. Makubi kuwa Mkurugenzi MOI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa viongozi wa taasi mbalimbali ambapo amemteua Prof. Abel N. Makubi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mifupa (MOI). akichukua nafasi ya Dkt. Respicious Boniface ambaye amemaliza muda…