JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

‘Kukwepa kutumia maabara kumechangia ongezeko la magonjwa’

Na Catherine Sungura,JamhuriMedia,Dodoma Tanzania inakabiliwa na magonjwa ya kuambukizwa kwa asilimia 95 kutokana na baadhi ya watumishi kutopenda kutumia huduma za maabara hali hiyo imesababisha wagonjwa wengi wamekuwa wakitibiwa bila kupata uhakiki wa majibu kutoka maabara huku asilimia 90 ya…

Mchungaji,wanawe wawili watuhumiwa kuua mtoto wakimuombea

Na Moses Ng’wat,JamhuriMedia,Songwe Mchungaji wa Kanisa la Uinjilisti Tanzania, Julius Mwasimba (57), na watoto wake wawili wanashikiliwa Plisi mkoani Songwe wakituhumiwa kumfungia ndani mtoto (wa mchungaji) kwa siku tatu ili kumuombea. Inadaiwa kuwa kwa siku zote hizo, watuhumiwa wote watatu pamoja…

TMA yaeleza sababu za ongezeko la joto nchini

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) ,imesema kutakuwa na ongezeko la joto katika baadhi ya maeneo nchini hali ambayo imesababisha kusogea kwa jua la utosi sambamba na upungufu wa mvua katika maeneo mengi hapa nchini. Kwa mujibu wa taarifa…

Utata ‘mauaji’ ya kijana Arusha

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Arusha Wistone Massawe amefariki dunia jijini Arusha baada ya kuchomwa kwa kitu chenye ncha kali, ikidaiwa ni wakati alipotoka ndani ya ukumbi wa disko kwenda maliwatoni. Kwa mujibu wa familia yake, mauti yalimkuta Wistone saa 10 alfajiri ya…