JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Dkt. Mpango kuanza ziara ya kikazi siku tano Ruvuma

Na Albano Midelo, JamhuriMedia,Songea Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas amesema Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Philipo Isdory Mpango anatarajia kuanza ziara ya kikazi mkoani Ruvuma kuanzia Julai 20,2023 hadi Julai 24,2023. Akizungumza…

Biteko:Wazalishaji chumvi waongeze uzalishaji kukidhi soko la ndani, nje’

WAZIRI wa Madini ,Dkt Dotto Biteko ametoa rai kwa wazalishaji wa chumvi nchini kuongeza uzalishaji kutoka tani 273,000 hadi tani 303,000 kwa mwaka ili kukidhi soko la ndani na nje. Rai hiyo aliitoa Wilayani Bagamoyo, Mkoani Pwani alipofanya ziara ya…

Miamala ya fedha yaongezeka asilimia 24 mwaka mmoja

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Dk Jabir Bakari, amesema kati ya Julai mwaka jana hadi Juni mwaka huu imesajili laini za simu milioni 7.3. Amesema hayo alipozungumza na vyombo vya habari Dodoma…

Nderiananga awataka Watanzania kuunga mkono juhudi za Rais Samia

Na Mathias Canal, Moshi-Kilimanjaro Mbunge wa Viti maalumu MlUmmy Nderiananga ambaye pia ni Naibu waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge) akiwa katika ziara mkoani Kilimanjaro amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan…

Biteko: Bagamoyo inazalisha madini ya chumvi tani 90,000 kwa mwaka

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Bagamoyo Wilaya ya Bagamoyo,mkoani Pwani, inazalisha chumvi tani 90,000 hadi tani Laki moja kwa mwaka. Kutokana na kiwango hicho cha uzalishaji kwenye sekta ndogo ya madini ya chumvi wilayani humo, Serikali imekusudia kuweka mazingira wezeshi ambapo tayari imeshapata…

Mwanafunzi,mpenzi wake mbaroni kwa kuishi kama mke na mume

Polisi mkoani Songwe linamshikilia Lukia Magwaza (21), mkazi wa kijiji cha Shasya Kata ya Halunga, wilayani Mbozi kwa tuhuma za kumuoa mwanafunzi (jina limehifadhiwa) aliyetakiwa kujiunga na kidato cha tano. Mwanafunzi huyo ambaye naye anashikiliwa na jeshi hilo anadaiwa kuwa…