JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tarangire hifadhi yenye tembo wengi wanaoishi eneo moja Afrika

Vita ya kutaka kuwinda wanyamapori baina ya makampuni yameingiza katika mgogoro Jumuiya ya Hifadhi ya Jamii ya Wanyamapori ya Burunge, Wilaya ya Babati, Mkoa wa Manyara, baada ya Spika wa Jumuiya hiyo kutangaza Kitalu cha uwindaji kipo wazi bila ridhaa…

TAWA wakabidhi rasmi hifadhi ya Mbambabay kwa ajili ya uwekezaji

Serikali mkoani Ruvuma kwa kutambua umuhimu wa uhifadhi umewakabidhi Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) hati ya kukabidhiwa visiwa vya Lundo,Mbambabay na milima ya Mbamba na tumbi,yenye jumla ya hekari 597 kwa ajili ya uhifadhi. Mkuu wa Mkoa wa…

Yanga yaichapa kagera Sugar 1-0

Klabu ya Yanga imeendeleza ubabe kwenye ligi kuu Tanzania Bara baada ya kuichapa Kagera Sugar 1-0 kwenye mchezo ambao uliopigwa kwenye dimba la CCM Kirumba Jijini Mwanza. Yanga Sc imepata bao kupitia kwa nyota wao kinda kabisa Clement Mzize ambaye…

Serikali:Sanaa yetu inachangia kuitangaza nchi kimataifa

Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Hassan Abbasi amesema sekta ya Sanaa inamchango kubwa katika kuitangaza nchi kimataifa kupitia kazi za Sanaa zinazofanywa na Wasanii. Dkt. Abbasi amesema hayo Novemba 12, 2022 wakiwa katika ziara ya kutembelea…

CCM yawateua hawa kugombea nafasi za uongozi Taifa,Mkoa

Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa (NEC) imekutana kikao cha kawaida Jumapili 13 Novemba, 2022 chini ya Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, Makao Makuu ya Chama, Dodoma….

EWURA: Watanzania tembeleeni RUAHA mjionee

Na Mwandishi Wetu,Iringa Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Leo 11 Nov 2022, wamezuru Hifadhi ya Wanyama Ruaha kujionea vivutio mbalimbali na kuchangia ukuaji wa mapato yatokanayo na utaliinchini. Wajumbe…