JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wawili wafungwa maisha jela kwa ulawiti na mwingine miaka 33 kwa ubakaji Pwani

Mwamvua Mwinyi, Pwani Watu watatu waliojihusisha na vitendo vya ulawiti na ubakaji Mkoani Pwani wamehukumiwa kifungo cha maisha na mwingine miaka 33 jela. Hayo yalisemwa na kamanda wa Polisi Mkoani Pwani ACP Pius Lutumo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari…

Mwisho wa zama

Mwisho wa zama, ndivyo unavyoweza kusema baada ya mshambuliaji wa Real Madrid na Ubelgiji, Eden Hazard, kustafuu kuitumikia timu yake ya taifa ya Ubelgiji.  Hazard na mastaa wengine kama Kevin De Bruyne na Romelu Lukaku wameshindwa kuipa mafanikio timu yao…

Serikali kuwasilisha bungeni mabadiliko ya vipengele tata vya sheria ya habari

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia SERIKALI inajiandaa kuwasilisha bungeni mabadiliko ya vipengele vya Sheria ya Habari ili wabunge wakiridhia, utekelezaji wake ufanyike. Hayo yamesemwa na msemaji wa Serikali Gerson Msigwa, wakati akifungua mkutano wa Klabu za Waandishi wa Habari nchini (UTPC),…

Toka Qatar mpaka Lindi

Jana ilikuwa ni siku ya kusisimua kwa Bara la Afrika na hususani kwa wananchi wa Morocco baada ya timu hiyo kutinga hatua ya robo fainali ya Kombe la Dunia kwa kuifurusha Hispania kwa njia ya penati.  Morocco iliandikisha rekodi nyingi…

Geita Gold yazigonganisha klabu za ligi kuu kwa straika huyu

Ndoa ya Geita Gold na straika kinara wa mabao wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara uliopita msimu uliopita, George Mpole, imefikia tamati hii leo baada ya pande hizo mbili kukubaliana kuvunja mkataba kwa maslahi ya kila upande. Taarifa ya…

Tanzania na Comoro kuimarisha ushirikiano zaidi sekta ya afya

Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Prof. Abel Makubi leo amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Comoro nchini Tanzania Dkt. Ahamada El Badaoui kujadili namna ambavyo nchini hizo zinaweza kushirikiana katika maendeleo ya Sekta ya Afya. Katika mazungumzo yao…