Latest Posts
Watakaosalimisha silaha wanazomiliki kinyume cha sheria kusamehewa
Jeshi la Polisi linapenda kuwataarifu wananchi wote kuwa,kutakuwa na uzinduzi wa kampeni maalum ya mwezi mmoja unaojulikana kama msamaha wa Afrika itakayohusisha usalimishaji wa silaha haramu kwa hiari zinazomilikiwa na baadhi ya watu kinyume cha sheria, ama kwa kutokujua taratibu…
Simba yachapwa 1-0 na Arta Solar ya Djibouti
Licha ya kumiliki mpira kwa asilimia 61 Timu ya Simba imepokea kichapo cha bao 1-0 kutoka kwa wageni Arta Solar kutoka nchini Djibouti mchezo wa Kimataifa wa kirafiki uliopigwa uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam. Shujaa wa Arta Solar…
IGP Wambura awataka askari kutenda haki
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Kilimanjaro Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Camillus Wambura amewataka askari wa Jeshi hilo kuzingatia uadilifu na kutenda haki wakati wanapo wahudumia wananchi kwa kufanya kazi kwa weledi ili kufikia malengo ya kulinda watu na mali zao….
Makamba ateta na mabalozi nchini Uingereza
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar Waziri wa Nishati January Makamba amekutana na kufanya mazungumzo na mabalozi wa nchi za Uingereza na Singapore kwa nyakati tofauti kuhusu ushirikiano baina ya nchi hizo na Tanzania kwenye maeneo mbalimbali ya sekta ya nishati. Mazungumzo hayo…
‘Maafisa wa IEBC waliharakisha tangazo la mshindi wa urais kuhofia usalama wao’
Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), kupitia wakili wake George Murugu imesema kuwa ilitangaza kwa ‘haraka’ matokeo ya Urais kufuatia wasiwasi wa usalama wa wafanyikazi wake. Amesema tume hiyo ilifanya uamuzi wa kutotangaza majimbo 27 yaliyosalia licha ya kujumlishwa…