Latest Posts
Serikali yaongeza bajeti ya matengenezo ya miundombinu ya umeme
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma SERIKALI imeongeza bajeti ya matengezo ya miundombinu ya umeme kutoka shilingi bilioni 197.61 kwa mwaka 2021/2022 hadi shilingi bilioni 211.56 kwa mwaka 2022/2023 ili kuimarisha hali ya upatikanaji umeme nchini. Hayo yameelezwa bungeni, jijini Dodoma wakati Wizara…
Makubi:Kila mtu atimize wajibu wake ili kuboresha huduma za afya
Katibu Mkuu Wizara ya Afya Prof. Abel Makubi ametoa wito kwa Wataalamu wa afya wote nchini kutimiza wajibu wao katika maeneo yao ya utendaji ili kuboresha huduma kwa wananchi wanaoenda kupata huduma. Prof. Makubi ametoa wito huo katika kikao na…
Rais Samia aagiza upelelezi ufanyike kabla ya kuwekwa mahabusu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu,Samia Suluhu Hassan amemuagiza Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Nchini DCI Ramadhan Kingai kuhakikisha unafanyika upelelezi na kuwa na ushahidi wa kutosha kabla ya kumuweka mtuhumiwa mahabusu. Rais…
Rais Dkt.Mwinyi ateua viongozi mbalimbali
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt.Hussein Ali Mwinyi amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali. Hayo ni kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Agosti 30, 2022 na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Zanzibar, Mhandisi…
Waziri Balozi Chana aishukuru Kamati ya Kudumu ya Bunge
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dodoma Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Dkt. Pindi Chana ameishukuru Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii kwa jitihada inazofanya za kuishauri na kutoa maoni yanayoiwezesha Serikali kutekeleza mipango mbalimbali ya maendeleo kupitia…
Kamati ya Bunge yaishauri Serikali kuboresha upatikanaji dawa
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii imeishauri Serikali kuboresha hali ya upatikanaji wa dawa nchini na kuhakikisha bidhaa muhimu zinapatikana kwa urahisi katika vituo vya kutolea huduma za afya nchini. Hayo yamesemwa leo na Mwenyekiti…