Latest Posts
Wahandisi na wakandarasi wazawa watakiwa kuchangamkia fursa
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, amesema Serikali itaendelea kuwasajili na kuwawezesha wakandarasi na wahandisi wazawa ili waweze kunufaika na fursa za miradi ya ujenzi inayoendelea nchini. Amesema hayo jijini Dodoma, katika taarifa yake kwa Kamati ya Kudumu…
Bibi afariki baada ya kuruka kutoka ghorofani
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Unguja Rehema Chande (70),ambaye ni mkazi wa Unguja, Zanzibar, amefariki dunia baada ya kuruka kutoka ghorofa ya pili nyumba anayoishi wakati akijiokoa dhidi ya moto uliowaka ndani ya nyumba hiyo. Kamanda wa Kikosi cha Zimamoto Zanzibar, Rashid Mzee…
Ruvuma wapokea wawekezaji kutoka Misri
MILANGO ya uwekezaji mkoani Ruvuma imefunguka baada ya wawekezaji kwenye sekta ya kilimo kutoka nchini Misri kuwasili mkoani Ruvuma. Wawekezaji hao wanatarajia kuwekeza katika zao la mahindi ya njano ambapo kwa mwaka wanahitaji mahindi ya njano zaidi ya tani milioni…