Latest Posts
TMA yatoa angalizo la upepo mkali unaofikia kilomita 40
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA),imetoa angalizo la upepo mkali unaofikia kilomita 40 kwa saa kwa baadhi ya maeneo ya Ziwa Nyasa. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na TMA imesema kuwa tahadhari hiyo inaanza leo huku…
Akamatwa akisafirisha gunia 10 za mirungi
Na Abel Paul,JamhuriMedia,Arusha Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha, limefanikiwa kumkamata mtuhumiwa mmoja anayesafirisha madawa ya kulevya aina mirungi katika Jiji la Arusha. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Kamishina wa msaidizi wa Polisi ACP ,Justine Masejo, amesema kuwa Septemba…
Serikali yaweka mikakati kudhibiti viashiria vyote vya uvunjifu wa amani
. ……………………………….. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka watendaji wote Serikalini kuweka mkakati wa kudhibiti viashiria vyote vya uvunjifu wa amani katika maeneo yao. Majaliwa amesema lengo la agizo ni kusisitiza utekelezwaji wa maono na dhamira ya Rais Samia Suluhu Hassan…





