Latest Posts
Demokrasia na haki za binadamu
Demokrasia ni uhuru na uwezo wa watu katika kutawala mwenendo na mambo yote yanayohusu maisha yao kwa kutumia vikao vilivyowekwa kikatiba na kisheria. Demokrasia na haki za binadamu si misamiati mipya kwa Watanzania kuelewa na kutumia katika harakati zao za…
Yah: Wenye ualbino ni wenzetu
Kuna wakati natamani niandike waraka wangu kama ule wa zamani, kwa kutumia lugha yetu, lakini naona kama dunia ya leo imebadilika kiasi kwamba hampendi mambo mengi zaidi ya mambo, vipi? Huwa sipendi salamu hizi. Leo nimeamka nikiwa na hisia tofauti…
Gamboshi: Mwisho wa dunia (1)
Gamboshi ni Kijiji kilichopo katika Wilaya ya Bariadi, mkoani Simiyu. Kijiji hiki kinasifika kwa uchawi kila kona ya Tanzania. Mtunzi wa hadithi hii, Bugulugulu Duu, ameamua kuvaa uhusika wa hadithi hii. Anaelezea kuhusu mazingira na mazingara ya uchawi katika Kijiji cha…
Miaka mitatu baada ya kifo cha Papa Wemba
Miaka mitatu imetimia tangu mwanamuziki nguli, Papa Wemba, kufariki dunia. Ilikuwa mithili ya simulizi za ‘Alinacha’ asubuhi ya Jumapili Aprili 24, mwaka 2016, kuzagaa kwa taarifa za kifo cha mtunzi na mwimbaji mkongwe, Papa Wemba, kwamba amefariki dunia. Taarifa hizo zilieleza…
Kagera Sugar, Mwadui kicheko
Pengine mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara Simba, wangetamani kuona Kagera Sugar hairudi ligi kuu, lakini ndiyo kama ulivyosikia wamerudi. Uzoefu na mipango vimezifanya timu za Kagera Sugar na Mwadui kurejea ligi kuu msimu ujao wa 2019/2020, timu hizo zimefanikiwa…
CWT kwawaka
Fukuto limezidi kuwa kubwa ndani ya Chama cha Walimu Tanzania (CWT) baada ya gazeti hili kuchapisha taarifa za kuwapo ufujaji wa mali za walimu wiki iliyopita, JAMHURI linathibitisha. Wiki iliyopita JAMHURI lilichapisha orodha ya wafanyakazi waliopewa ajira kwa njia ya…