JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

MAISHA YANAPOKUPATIA LIMAU, TENGENEZA JUISI YA LIMAU (1)

Badili picha mbaya kuwa picha nzuri Kuna wanaoona miiba kwenye ua waridi na kuna wanaoona waridi kwenye miiba. Penye ubaya kuna jambo jema limejificha, penye ugumu kuna furaha imejificha, penye matatizo kuna fursa zimelala. Uwezo wako wa kubadili picha mbaya…

NYUMA YA PAZIA

ALEXANDER GRAHAM BELL Alivumbua simu lakini alikuwa mnyanyasaji mkubwa Karibu katika safu hii mpya inayolenga kuangalia upande wa pili wa maisha ya watu maarufu ambao wamefanya mambo makubwa duniani. Kwa kawaida, watu hao hujulikana zaidi kwa mambo hayo makubwa waliyoyafanya….

Tusipende amani kwa kuisahau haki

Daima amani ni tunda la haki. Penye haki amani hutamalaki. Mwenye haki, kwa maana ya kutenda na kutendewa haki, mara zote huwa mpole na mtulivu. Kwa sababu sioni ni kitu gani kitamfanya akose utulivu kama haki yake haijaguswa. Kwa wakati…

Ubabe haujengi, hauna tija (1)

Huu ni mwaka wa Uchaguzi Mkuu. Tutapata fursa nyingine ya kuwachagua viongozi wa kuendesha gurudumu letu la maendeleo kwa miaka mitano ijayo.  Hapa nchini tunasema demokrasia ya kupokezana vijiti kwa mujibu wa Katiba ya nchi yetu. Mwaka huu tutachagua tena…

Barabara yawatesa wakazi Kisangara, Shighatini

· TARURA yasema mkandarasi yupo kazini · Mbunge asema bado mkandarasi hajapatikana · Mkandarasi agoma kuzungumza ARUSHA NA ZULFA MFINANGA Ubovu wa barabara inayounganisha Kata ya Shighatini na Ngujini wilayani Mwanga katika Mkoa wa Kilimanjaro umeendelea kuwa kero kwa wakazi wa maeneo hayo,…

Soko la Bidhaa lawanufaisha wakulima

Na Mwandishi Wetu Wakulima nchini wameanza kunufaika na kuwepo kwa Soko la Bidhaa Tanzania (TMX) ambalo lipo mahususi kusaidia masoko ya mazao yanapatikana kwa wakati sahihi na mauzo yanafanyika kwa ushindani stahiki. Na katika kuhakikisha kuwa faida za soko hilo…