JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Kuwapo madini Tanzania ni baraka au laana?

Napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu aliyenijalia kuandika makala hii na kuchapishwa katika gazeti hili mahiri ili kuelimisha na kuwajuza Watanzania nini kinajiri katika sekta ya madini. Tanzania imejaliwa kuwa na rasilimali asilia ikiwemo ardhi, madini, misitu, wanyamapori, maji chumvi/maji baridi, samaki na viumbe hai…

Ukweli japo wa mbaya wako ni ukweli

Siamini yupo binadamu anayekubali kwa hiari kuvumilia ubaguzi wa aina yoyote; kwa hiyo tunaposikia matamshi au kushuhudia vitendo tunavyohisi kuwa vya kibaguzi vinatuamshia mara moja hisia ya kujihami na hata kurejesha mashambulizi. Nilikuwa abiria kutoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa…

Huwezi kukopa kwa dhamana ya kiwanja, shamba lisiloendelezwa

Wiki iliyopita niliandika kuwa ujenzi wa uzio (fensi) pekee kwenye kiwanja si uendelezaji halisi kwa mujibu wa kanuni mpya za sheria ya ardhi tofauti na tulivyozoea. Leo tena tunatazama sehemu ya (iii) Kanuni ya saba ya kanuni mpya, kanuni za…

Usiamini uwepo wa uchawi

Jamii yoyote ile ni lazima itembee katika ukweli, haki, maadili, mwanga na elimu. Hakuna jamii inayoweza kuendelea pasipo watu wake kuwa wakweli na wenye maadili na akili tafakari na akili bainifu. Hatuwezi kuendelea kutambua kwamba sisi ni wajinga na bado…

MAISHA NI MTIHANI (31)

Nyota njema huonekana pia jioni Namna ya kumaliza ni mtihani.  Hoja si namna unavyoanza, hoja ni namna unavyomaliza. “Kuanza vizuri ni jambo la kitambo; kumaliza vizuri ni suala la maisha yote,” alisema Ravi Zacharias – mtunzi wa vitabu. Mwanzo unaweza…

Sasa iwe zamu ya ‘chainsaw’

Wiki mbili zilizopita katika safu hii niliandika makala nikieleza hisia zangu kuhusu hatua ya Kenya kutupiku kwenye fursa ya kufundisha lugha ya Kiswahili nchini Afrika Kusini. Siku chache baadaye, Rais John Magufuli, akawa na ziara katika mataifa matatu – Afrika…