Latest Posts
Zitto hatihati
Kiongozi wa Chama cha ACT – Wazalendo, Zitto Kabwe, yumo kwenye hatihati ya kurejea nchini kwa kile kinachoelezwa kuwa ni kuhofia maisha yake. Kama hilo litafanyika, Zitto atakuwa amefuata nyayo za mwasiasa machachari wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),…
Ofisa Ardhi wilaya matatani kwa rushwa
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mkoani Kilimanjaro imemfikisha mahakamani Ofisa Ardhi wa Wilaya ya Hai, Wilbert Mayila, kwa tuhuma za kudai na kupokea rushwa ya Sh milioni moja kutoka kwa ofisa wa jeshi mstaafu ili amsaidie kupata…
Mvua zawatesa wakazi Mkuranga
Mvua kubwa zilizonyesha siku za hivi karibuni zimesababisha uharibifu mkubwa wa miundombinu katika Wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani. Barabara kadhaa, madaraja na nyumba za watu vimeharibiwa na mvua hizo, Mkurugenzi wa Wilaya hiyo, Mshamu Munde, amesema wakati akizungumza na JAMHURI…
Shule yapokea msaada wa viti, chumvi
Kampuni ya Neelkanth Salt Limited imetoa msaada wa viti 100 na katoni 300 za chumvi kwa Shule ya Sekondari Shungubweni kama hatua ya kuunga mkono juhudi za serikali kuhakikisha wanafunzi wote waliofaulu mitihani yao ya darasa la saba mwaka jana…
HakiElimu yabainisha kinachosababisha baadhi ya shule kufaulu
Utafiti uliofanywa na HakiElimu nchini umeonyesha kuwa ushiriki hafifu wa wazazi au walezi kuhamasisha watoto kufanya vizuri shuleni na uhusiano mbaya na walimu kuwa ni moja ya vyanzo vikubwa vya watoto wengi kufanya vibaya katika matokeo ya mitihani ya kitaifa….
Nini kimeikumba Stamico?
Wakati ikielezwa kuwa madini ni moja ya sekta ambazo zimewezesha kupatikana kwa mapinduzi ya uchumi nchini, taasisi muhimu inayoshughulikia sekta hiyo, Shirika la Madini la Taifa (Stamico) inaelezwa kuwa liko hoi kifedha. Wakati Benki Kuu (BoT) ikieleza kupitia ripoti yake…