JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Uamuzi wa Busara (11)

Wiki iliyopita katika toleo hili la Uamuzi wa Busara tulisoma jinsi Katiba ya TANU inavyoelekeza kuwa raia wote watamiliki utajiri wa asili wa Tanzania kama ahadi na dhamana kwa vizazi vijavyo. Wiki hii ni mwendelezo wa tulipoishia. Endelea… Makabila, kisha…

Taasisi mbili zagombea shule Mkuranga

Bodi ya Wadhamini ya Jumuiya ya Shule ya The Madrasat and Masjid Nnuru Sotele iliyopo wilayani Mkuranga wameiomba serikali kuzichunguza akaunti za fedha za taasisi ya wataalamu wa Kiislamu nchini, TAMPRO, ili kubaini usahihi wa akaunti hizo. Wajumbe wa Bodi…

Zaidi ya trilioni 4/- zatumika kununua mafuta

Tanzania ilitumia zaidi ya Sh trilioni 4 kununua bidhaa mbalimbali za mafuta kati ya Januari na Novemba mwaka jana kiasi ambacho ni zaidi ya gharama iliyotumika kwa mwaka mzima wa 2018, takwimu rasmi za biashara ya nje zinaonyesha. Fedha hizo…

Tanzania yaongoza miradi ya ujenzi Afrika Mashariki

Tanzania ilitumia zaidi ya Sh trilioni 4 kununua bidhaa mbalimbali za mafuta kati ya Januari na Novemba mwaka jana kiasi ambacho ni zaidi ya gharama iliyotumika kwa mwaka mzima wa 2018, takwimu rasmi za biashara ya nje zinaonyesha. Fedha hizo…

Shirika la Ndege Afrika Kusini hali mbaya

Hali ya kifedha ya Shirika la Ndege la Afrika Kusini (SAA) imezidi kudorora na kulilazimisha shirika hilo kusitisha safari za ndani isipokuwa kwenda na kutoka Johannesburg na Cape Town. Hilo limetangazwa wiki iliyopita na timu maalumu ya wataalamu wa biashara…

Virusi vya Corona vyaikamata dunia

Idadi ya maambukizi, vifo yaongezeka kila kukicha Wataalamu watabiri uchumi wa dunia kutetereka Kwa zaidi ya wiki sita sasa dunia imekuwa kwenye mshikemshike kutokana na kuibuka kwa kirusi hatari kijulikanacho kama Corona. Kirusi hicho, ambacho si kipya katika orodha ya…