JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Kwa hili RC Chalamila amepatia

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila, huwa hakosi vituko! Wengi wetu tulitarajia wiki iliyopita afungue mwaka mpya wa 2020 kwa kituko! Hakufanya hivyo! Badala yake ameukaribisha mwaka kwa kutoa maelekezo mazuri yanayopaswa kuungwa mkono, si Mbeya pekee, bali nchini…

Ukarimu ni mzuri, ubahili ni mbaya

Binadamu anaweza kuwa na tabia ya ukarimu au ya ubahili katika kuweka uhusiano mzuri au mbaya na wanadamu wenzake.  Ukarimu unajenga na unaenzi, na ubahili unaharibu na kubomoa uhusiano kati ya wanadamu. Hadhari kwa binadamu haina budi kutangulia kukinga ubaya…

Yah: Vita ya nje itatuathiri kama hatujitegemei

Kuna msemo wa Kiswahili kwamba wagombanapo fahali wawili ziumiazo ni nyasi. Nimeukumbuka msemo huu kutokana na malezi yetu ya ufugaji na uchungaji wakati huo, hasa pale ambapo tulikuwa tukikutanisha madume wawili wa ng’ombe au mbuzi wapigane. Ukweli ni kwamba chini…

Mafanikio katika akili yangu (13)

Katika toleo lililopita sehemu ya kumi na mbili tuliishia katika aya isemayo: “Mimi ninaitwa Penteratha,” alisema. Profesa alipokuwa akiwatazama nyuso zao akagundua walikuwa na furaha halisi kutoka mioyoni mwao. Sasa endelea…  Penteratha akiwa anaendelea kuzungumza na Noel, profesa alimuuliza: “Hivi…

KASSIM MGANGA

Mwanamuziki asiyependa kujenga jina lake kwa kiki Kassim Mganga ni msanii wa muziki wa kizazi kipya ambaye amekuwa kivutio kikubwa kwa wapenzi wa muziki wa mwambao, ambapo hivi sasa anatamba katika video yake ya Somo. Wimbo huo una maneno ya…

Mdogo wa Ali Kiba amkingia kifua Diamond

Bifu kati ya wanamuziki mahiri nchini, Diamond Platnumz na Ali Kiba ni jambo linaloeleweka wazi. Kuelekea mwishoni mwa mwaka jana wawili hao walizidisha msigano wao baada ya Diamond kumwalika Kiba kushiriki kwenye tamasha la Wasafi – Wasafi Festival. Lakini Kiba…