Latest Posts
Fuvu la jemedari wa Wangoni kurejeshwa nchini
Na Albano Midelo,JamhuriMedia,Ruvuma Wizara ya Maliasili na Utalii imeunda Kamati ya Kitaifa inayosimamia urejeshwaji wa malikale zilizo nje ya nchi,likiwemo fuvu la Jemedari wa Wangoni Nduna Songea Mbano ambalo limehifadhiwa nchini Ujerumani. Jemedari wa wangoni Songea Mbano na wenzake mashujaa…
Rais Samia atengua umiliki wa eneo la AZANIA Investment Mapinga
Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Bagamoyo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amebatilisha,na kutengua umiliki wa shamba namba 934 lililokuwa mali ya AZANIA Investment and management Services Ltd, kitongoji cha Kiembeni Kata ya Mapinga, Bagamoyo Mkoani Pwani ,lenye ukubwa…
NMB yapata ufadhili wa bil.572/- kutoka Jumuiya ya Ulaya
Benki ya NMB imepata mikopo miwili ya muda mrefu na dhamana ya kukopesha kutoka taasisi tatu za fedha za Jumuiya ya Ulaya (EU) yenye thamani ya sh. bilioni 572 kwa ajili kuendeleza sekta binafsi na kusaidia ujumuishaji wa kifedha nchini….





