Latest Posts
Polisi wadaiwa kushiriki dhuluma
DAR ES SALAAM NA MWANDISHI WETU Polisi kadhaa wanalalamikiwa kuwa wanashirikiana na mtandao wa biashara ya magari kufanya dhuluma. Mkazi mmoja wa Dar es Salaam, Michael Onduru, amekumbwa na kadhia hiyo. Analalamika kuwa licha ya kuwapo vielelezo vya namna alivyonunua…
Nimejifunza, Ukraine – Urusi taarifa zina utata
Na Deodatus Balile Tangu Urusi ianze mashambulizi dhidi ya taifa la Ukraine, nimekuwa na ufuatiliaji wa karibu wa mashirika mbalimbali ya habari ya kimataifa. Kuna jambo gumu nimejifunza. Nimekuwa nikilisikia hili nililojifunza, ila sasa nimejifunza kwa njia ngumu. Sitanii, miaka…
Vita ya Urusi dhidi ya Ukraine na ukweli kuhusu NATO
DAR ES SALAAM Na Abbas Mwalimu Urusi inatekeleza kile alichokiita Rais wake, Vladimir Putin, ‘Operesheni Maalumu’ nchini Ukraine aliyoitangaza Februari 24, mwaka huu. Wakati huu Urusi ikielekea Kyiv ambao ni Mji Mkuu wa Ukraine, Rais wake, Volodymyr Zelensky, ameuomba Muungano…
Bangala: Nusu mtu, nusu chuma
DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu ‘Nusu mtu, nusu chuma’ ni jina la utani analoitwa mlinzi wa kati wa Klabu ya Simba ya Dar es Salaam, Joash Onyango, ambaye ni raia wa Kenya. Onyango amepewa jina hili kutokana na kazi…
Ummy: Sitaki kusikia kuna uhaba wa damu salama
DAR ES SALAAM Na Aziza Nangwa Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, amesema hataki kusikia kuna uhaba wa damu salama na anataka kuona inapatikana muda wote. Akizungumza Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita, Ummy, amesema damu salama haipatikani sehemu nyingine…
Wanaoishi kinyemela nchini sasa ni wakati wa kuwabaini
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Uhamiaji anasema jeshi hilo linaendelea na operesheni ya kuwabaini wahamiaji haramu nchini. Anasema tayari kazi hiyo imeonyesha mafanikio makubwa kwani watu wengi walio nchini kinyume cha sheria wameshatiwa mbaroni na kufikishwa mahakamani na wengine kurejeshwa…